Roho za kwa nini zitawamaliza. Ongeeni sana juu ya mtoto wa mwanadamu mwenzenu kwa hayo mabaya. Tambua maliopo ni hapa hapa duniani.
Ongeeni domo jumba la maneno.
Mada hii haijabalance naona umezungumzia mabaya au umemponda dereva kwa vjimambo.
Mbona hujaonyesha uzuri wake japo hata kwa uchache?
Huyu dereva nina imani nae mimi kama mwananchi maskini siwezi ficha hisia zangu kwa kweli nina imani nae sana tena sana.
Tutalalamika huyu dereva ana mwendo...
Kweli bora tuchukue sisi wapiga dili aiseeee hatukubali kabisa.
Yani mambo yetu hayaendi kabisa.
Huyu jamaaa amefukuza miladi yetu ya wafanyakazi hewa hapana hatutaki 2020 bora tumpe Lowassa tu.
Walimsapoti kwa wizi wake na mikataba mibovu aliyokuwa anasainiana nao
Ndiyo maana walimpenda.
Ukiona marekani wanakupenda ujue kwako wamepaoma shamba la bibi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.