Clouds TV, huyu Ngoma ni kimeo

Clouds TV, huyu Ngoma ni kimeo

Juzi alikuwa Bwana Ruge anazungumza katika maelezo yake ya kujisifu alisemaga yakuwa Clouds watangazaji wake hakuna hata mmoja ambaye aliajiriwa kupitia cv bali wanachoangalia wao ni kipaji tu,hapo napo ni ubabaishaji tu
 
Namuona hapa anapoteza hoja ya mgeni kuhusu mzunguko wa fedha
 
sasa wewe maoni yako yap???ina hata clouds ruge juzi kasema mm sijamwajiri mtu kisa cheti chake ila nimeangalia utendaji ndo nkawachukua au kuna mtu niliangalia cheti??nasi usishangae pia mi naunga mkono hoja vyeti ni makaratasi ila akili ya kutenda ndo muhimu usilete ujinga wako....wasomi bongo bhanaaaaa.
 
Mtangazaji Hassan Ngoma aliyekuja kuziba nafasi ya Hudson Kamoga katika kipindi cha Clouds 360 baada ya yule mwingine kuondolewa anaonekana kutoimudu nafasi vema kutokana na hoja zake wakati wa kujadili habari za magazetini kuwa zenye uelewa finyu ama potofu.

Kwa mfano leo nimeona akizungumzia zoezi la uhakiki wa vyeti huku yeye kama anapotisha kuwa uhakiki utazame performance na sio vyeti jambo ambalo ni kinyume na zoezi na sheria kuwa mtu upate hiyo kazi kwa vyeti halali na si vinginevyo.

Tukitazama performance tu basi tunahalalisha makosa hayo ya forgery
Hii ni kama kufurahia safaka za muumini aliyezipata kwa njia chafu kama mauaji wizi n.k. Clouds hapo mmelamba ile karata maarufu iitwayo GARASA maana naona naye anaongea kwa upofu kama vile nae atapata ukurugenzi.

Bora hicho kiti cha tatu wawe wanakalia wageni waalikwa na na watangazaji wa column za sports. Huyo Dada na Chalii wake wanatosha kabisa kama amekosekana mtu mwenye weledi wa kuchambua habari.
acha zako bhna
 
Asante Baby Cabaye kumuelewesha huyo jipu asiyeelewa falsafa ya Fidelism
Congrats Mgeni Sabath kwa uelewa mkubwa
 
Huyu jamaa mapepe saana ktk kuhoj na kutoa hoja HAWEZI kwa Mtazamo Wangu Mm.
 
Nauliza tu yule kamoga aslikuwa anasema anaona flusa nyingi sana mikoani vp kwake hajatangaza tu flusa. nauliza tu jamani
 
Bila kumsahau kicheko wa ile miziki, I mean kelele zinazoitwa singeli!
 
Nakujibu hivi, Hassan Ngoma si mwajiriwa wala mtangazaji wa Clouds, ni mwalikwa tu katika hicho kipindi. Yeye ni mmliki wa Chuo kimoja huko Mbezi, Mlimani Professional School. So Acha Unafiki kwa mambo usiyoyajua.

Khasante mkuu....yaani watanzania sijui kwa nini tuna roho mbaya kiivi....wanafurahia anguko la mtu katika maisha.....hapo kuna mtu kaandika clous fukuza huyo niajili mm....dah!?
 
Back
Top Bottom