Lucas Kashi
Senior Member
- Feb 28, 2014
- 105
- 18
Ha ha haaaa mimi yangu mate maji na damu wacha movieeee indeleee
kaka tafazali eeh i mean tafadhaliHebu acheni jamani,... Sasa akifukuzwa kazi mtafaidika nin?? Hilo liclouds Lina watazamaji wake, wenye uelewa mdogo Kama hao watangazaji.
Nin tena, umepanic??kaka tafazali eeh i mean tafadhali
acha zako bhnaMtangazaji Hassan Ngoma aliyekuja kuziba nafasi ya Hudson Kamoga katika kipindi cha Clouds 360 baada ya yule mwingine kuondolewa anaonekana kutoimudu nafasi vema kutokana na hoja zake wakati wa kujadili habari za magazetini kuwa zenye uelewa finyu ama potofu.
Kwa mfano leo nimeona akizungumzia zoezi la uhakiki wa vyeti huku yeye kama anapotisha kuwa uhakiki utazame performance na sio vyeti jambo ambalo ni kinyume na zoezi na sheria kuwa mtu upate hiyo kazi kwa vyeti halali na si vinginevyo.
Tukitazama performance tu basi tunahalalisha makosa hayo ya forgery
Hii ni kama kufurahia safaka za muumini aliyezipata kwa njia chafu kama mauaji wizi n.k. Clouds hapo mmelamba ile karata maarufu iitwayo GARASA maana naona naye anaongea kwa upofu kama vile nae atapata ukurugenzi.
Bora hicho kiti cha tatu wawe wanakalia wageni waalikwa na na watangazaji wa column za sports. Huyo Dada na Chalii wake wanatosha kabisa kama amekosekana mtu mwenye weledi wa kuchambua habari.
Inakatisha tamaa sio?Eti Jose Mara naye yumo clouds tv
Kwa vigezo vipi?kweli Sie Wa Tz ni watu Wa mchezo mchezo....usije shangaa kusikia hats Juma kaseja nae mtangazaji clouds tvInakatisha tamaa sio?
Huwa hata simuelew anaongea nini yule alikuwa anaweza mziki tuu sio utangazajiEti Jose Mara naye yumo clouds tv
Nakujibu hivi, Hassan Ngoma si mwajiriwa wala mtangazaji wa Clouds, ni mwalikwa tu katika hicho kipindi. Yeye ni mmliki wa Chuo kimoja huko Mbezi, Mlimani Professional School. So Acha Unafiki kwa mambo usiyoyajua.