tehe tehe tehe tehe nimezoea kukuona mtaa wa pili kuleKwani hapa si jf?
tehe tehe tehe tehe umefanya vizuri kuwapa vitu vipyaNimeruka ukuta shost..nimeona mijitu imezid kulalamika
Wandugu,
Msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi. Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasababu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.
Serikali imejielekeza zaidi katika kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha. Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.
Hivyo ajira zitarejea kama kawaida.
Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaidi na niwakuupuzwa.
Tujikite katika kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.
Nawakilisha
monicca kakosea njia leo; arudi kule MMU tu na mastori yake tuliyoyazoea [emoji23][emoji23]mtoa mada anasemaga yeye ana jinsia mbili teh teh Usher-smith kuja huku mkuu
Wee uwe unabaki tuu kule Mmu na Chit-Chat huku waachie watu wenye akili zao.
Umedangisha mpapa ukahongwa elfu hamsini unakuja spidi huku kusema uchumi umeimarika.
Wewe huogopi kutumbuliwa? Wenyewe wenye kuimiliki awamu ya 5 wanasema uchumi unakuwa kwa mwendokasi, wewe unasema umedorora. Vipi wewe?Kuna matatizo yanasababishwa na JPM kubadili 'mifumo' ya watangulizi wake na yanatuathiri kwa maana kontena zisizolipiwa ushuru, wakwepa kodi, mishahara hewa na madili machafu ya mashirika pesa zake sote tulikuwa tunazikuta mtaani na zilikuwa zinatusaidia. Japo swali lisilopingika ni hili ...."ni kwa muda gani mtu ataishi kwa kutegemea pesa haramu?".
Lakini pamoja na kudhibiti pesa haramu mengine pia anatusababishaia matatizo hasa kwenye watendaji uchwara wanaoongozwa na mizuka huku wakiwa na upeo mdogo wa kuchanganua mambo.
La muhimu, let us think globally and act locally. Uchumi haujadorora hapa kwetu tu bali ni maeneo tofauti. Nimesoma hii habari ya NAKUMATT na inatoa picha halisi kuwa sio sisi tu!
Cash-strapped Nakumatt seeks financial rescue
Cash-strapped Nakumatt seeks financial rescue
Like any other business operating in this market, Nakumatt Holdings has faced a number of unforeseen business challenges
Thursday October 27 2016
![]()
Empty stalls at several Nakumatt outlets around have sparked speculation over the future of the largest supermarket chain in Uganda. File photo
In Summary
- Nakumatt reveals that it is engaging financiers to provide bridge financing options for the company to stay afloat.
- Last year, Uchumi another Kenya-based supermarket closed its operations in Uganda, plunging unpaid suppliers into loss and protracted talks.
By MARK KEITH MUHUMUZA
KAMPALA. Empty stalls at several Nakumatt outlets around have sparked speculation over the future of the largest supermarket chain in Uganda. Several suppliers have stopped placing products on the shelves of Nakumatt at least until payments are made for previous supplies. In a Thursday statement, Nakumatt Holdings, the holding company that owns the supermarket chains in Kenya, Uganda, Tanzania and Rwanda admitted that it was in the red and was seeking a rescue.
“Like any other business operating in this market, Nakumatt Holdings has faced a number of unforeseen business challenges. These challenges range from a depressed economy, higher operating costs and extraneous factors including risk management due to prevailing security threats, among others,” the statement signed by Managing Director Atul Shah reads in part.
Sasa tuelewe vp huo uchumi umeimarika au umesimama?
Wandugu,
Msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi. Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasababu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.
Serikali imejielekeza zaidi katika kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha. Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.
Hivyo ajira zitarejea kama kawaida.
Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaidi na niwakuupuzwa.
Tujikite katika kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.
Nawakilisha
Povu linakutoka mtoto wa kike. Elezea basi kitaalamWandugu,
Msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi. Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasababu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.
Serikali imejielekeza zaidi katika kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha. Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.
Hivyo ajira zitarejea kama kawaida.
Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaidi na niwakuupuzwa.
Tujikite katika kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.
Nawakilisha
Wandugu,
Msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi. Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasababu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.
Serikali imejielekeza zaidi katika kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha. Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.
Hivyo ajira zitarejea kama kawaida.
Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaidi na niwakuupuzwa.
Tujikite katika kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.
Nawakilisha
ahahahahWee uwe unabaki tuu kule Mmu na Chit-Chat huku waachie watu wenye akili zao.
Umedangisha mpapa ukahongwa elfu hamsini unakuja spidi huku kusema uchumi umeimarika.