Recent content by lovebitelol

  1. lovebitelol

    Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

    Lijinga sana. Sasa ulivonyimwa si ungeenda kuomba katoliki au anglikan. Kkt ilikufanya nini
  2. lovebitelol

    Kunisafirisha kutoka mbali halafu mambo hunipi, dah!

    Ukiona manyoya ujue ameshaliwa
  3. lovebitelol

    Kijana uliyeoa, hakuna njia nyingine ya kufanikiwa zaidi ya kuwa na umoja na ushirikiano na mkeo

    Umeandika ujinga tuu. Relate na matajiri njoo uandike tena, siku ukimshirikisha mkeo kwenye kitu chochote cha maendeleo hakika utakwama
  4. lovebitelol

    Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

    Jamaa aliyeleta huu uzi angeweka barriers ya kutoruhusu wanawake kuchangia huu uzi. Wewe unajiita malkia wa nguvu unashauri hivi kweli. Hebu vaa uhusika chukulia kama huyu angekua mdogo wako wa kiume au kaka yako anayetegemewa nyumbani au angekua ni mtoto wako wa kiume. Acheni mawazo kufikiria...
  5. lovebitelol

    Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

    John asifananishe kusoma na vitu vya kijinga hapo aangalie tuu mtoto ataishije. Ukiambiwa kuna jinsia zilinyimwa akili unakataa. Hawezi kuishi bila kugongana kwani john ikitokea akaenda jela miaka 3 huo mwanamke ataenda wapi atakua analiwa sio?
  6. lovebitelol

    Pascal Mayalla na Maulid Kitenge ni watu wa kitengo? Story za Ngorongoro na ukimya wa mahojiano bungeni ni alert tu

    Kuilinda inchi ni kutumika kisiasa na kuangamiza vyama vya upinzani sio?
  7. lovebitelol

    Pascal Mayalla na Maulid Kitenge ni watu wa kitengo? Story za Ngorongoro na ukimya wa mahojiano bungeni ni alert tu

    Unakumbuka kipindi kile Nape alitishiwa bastola jiulize Kitenge alipata wapi ujasiri wa kuingia pale na kusema acheni
  8. lovebitelol

    Samsung Galaxy S22 ultra, ubunifu umefika mwisho

    Nna uwezo wa kununua na kukununulia wewe pia
  9. lovebitelol

    Samsung Galaxy S22 ultra, ubunifu umefika mwisho

    S21 ultra imetoka zamani sana sasa ni kama nguo ukiishaichoka unanunua ingine
  10. lovebitelol

    Samsung Galaxy S22 ultra, ubunifu umefika mwisho

    Sasa kama huwezi kufanya hivo unakuja hapa kutuambia sisi ambao tutanunua ili tufanyaje? Tusinunue? Endeleeni kuwa watumwa wa western na hayo ma iphone. Watu wanatumia muda kuwakilisha kitu kipya wewe unasema hamna kitu. Mtanzania ana akili kuliko mkorea wee ulisikia wapi?
  11. lovebitelol

    Gari yako ikifikia hatua hii kauze tu kwawanaokata magari

    Yanini kuharibu uzi wa watu. Acha watu wajifunze
  12. lovebitelol

    Nahama Aliexpress naenda Ebay

    Mimi niacha zamani sana. Niliagiza Bluetooth speaker wakaniletea used
Back
Top Bottom