ushabiki mbaya sana, naibu spika anajifanya hajasikia pumba za lusinde anamuomba arudie tena alichokisema as if alikuwa anaongea mambo ya maana kumbe ni mipasho tu, Kafulila alivyokuwa anaongea uzalendo naibu spika akamwambia anatoka nje ya mada, lusinde kaongea pumba tupu, naibu spika...