Mzee umeniwahi kidogo tu. Mbona hata mimi nilikuwa nafikiria hivyohivyo.Mkuu ndetichia huyu English Learner huenda ndio january mwenyewe anaangalia upepo kama mkuu wake wa kazi anaogopa kuja na ID yake kwasababu kikosi cha kazi kitaivamia hiyo thread mpaka machozi yamtoke
Mkuu wangu hapa umekosea kabisa na swala hili la upangishaji nyuma kwa kodi ya miezi 6 au mwaka sio tu linamkera January bali hata viongozi wa Upinzani. Dunia ya leo ni dunia ya soko ambayo kila siku inategemea na mahitaji hivyo sheria ya kumlazimisha mtu akae ndani ya nyumba yako kwa mwaka mmoja umeshakamata fedha zake ni kinyume kabisa cha soko. Hata kaa demand ni kubwa kiasi gani lakini siku zote biashara humpa nafasi kubwa mteja kuwa mchaguzi na sii mwenye mali kuwa na kivuri cha kuendesha biashara. ndio maana Tanzania ukienda dukani mteja ni mhitaji unaweza fukuzwa na mwenye duka, ukienda Hotelini unaomba uhudumiwe chakula. Fikra hizi ni chafu na zimeboreshwa na umaskini wa kushindwa kujitosheleza ktk mahitaji. Na hata ktk swala hili January anachozungumzia ni jinsi gani Mpesa imeweza kutumika kutokana na wananchi wengi kutokuwa na account zao benk kwa maana kwamba wananchi hawahifadhi fedha zao benki ama hakuna mahusiano mazuri baina ya benki na wananchi. Kiuchumi hili ni tatizo kubwa wala msilifikirie mzaha..J.Makamba, ni mpenda sifa kupitia mitandao, jamaa ni kilaza mbaya, atakuja angushwa kama Masha tu! Haiwezekani mtu na akili zako zote utoe hoja binafsi bungeni eti wananchi wanateseka lipia kodi za nyumba kwa mwaka or miezi 6! Nlimshangaa sana jamaa, yani gharama za ujenzi zilivyo juu leo umwambia mmiliki wa nyumba apangishe kwa mwezi mwezi! Atleast angekuja kuliambia bunge NHC iwezeshwe ijenge watu wapange! Naomba M4C itinge bumbuli!
Sijaelewa tunatakiwa kuchangia nini kwenye hii thread? What is there to discuss?
Hahaha! I hope mgosi hujaamua kujipaisha! I once wrote to u abt an issue ya wapiga kura wako na haukubother hata kunijibu. Worry out, u lost a few votes in there.
Siasa za kwenye media hazijawahi kumsaidia yeyote, sio kikwete after 2005 election wala rafiki yake Lowasa akiwa waziri mkuu akitembea na a minimum of 5 journalists kwenye magari ya serikali.
It will neither help you 'boy' as english learner called you.
Mkuu wangu hapa umekosea kabisa na swala hili la upangishaji nyuma kwa kodi ya miezi 6 au mwaka sio tu linamkera January bali hata viongozi wa Upinzani. Dunia ya leo ni dunia ya soko ambayo kila siku inategemea na mahitaji hivyo sheria ya kumlazimisha mtu akae ndani ya nyumba yako kwa mwaka mmoja umeshakamata fedha zake ni kinyume kabisa cha soko. Hata kaa demand ni kubwa kiasi gani lakini siku zote biashara humpa nafasi kubwa mteja kuwa mchaguzi na sii mwenye mali kuwa na kivuri ch