Safi sana,Kama una passport Tanzania Malaysia na Singpore huhitaji visa Mkuu,kata tiketi yako upae!
Waheshimiwa,
Natarajia kusafiri kwenda Singapore hapo karibuni, naomba mtu ambaye ajaua taratibu za kupata visa ya kwenda huko maana hawana ubalozi hapa bongo.
Nitashukuru kupata ushauri huo.
Wenu,
TzPride.
Uhitaji Visa Muhimu usisahau card ya chanjo..
Chanjo?
Kwani inatakiwa upigwe chanjo?na ni chanjo ya nini?na wapi chanjo hiyo inatolewa?[/QUOTE
Chanjo (Vaccination) hii inatolewa katika kliniki ya Mnazi mmoja, Jumanne na Ijumaa, unapigwa sindano bega la kushoto na unapewa kajitabu ka rangi ya njano. Na chanjo hii inadumu kwa muda wa miaka 10. Kaka hii kitu usipokuwa nayo unarudisshwa Airport hasa kwa nchi za Far Asia ni muhimu mno kwako. Zingati hilo tafadhari.
Chanjo?
Kwani inatakiwa upigwe chanjo?na ni chanjo ya nini?na wapi chanjo hiyo inatolewa?[/QUOTE
Chanjo (Vaccination) hii inatolewa katika kliniki ya Mnazi mmoja, Jumanne na Ijumaa, unapigwa sindano bega la kushoto na unapewa kajitabu ka rangi ya njano. Na chanjo hii inadumu kwa muda wa miaka 10. Kaka hii kitu usipokuwa nayo unarudisshwa Airport hasa kwa nchi za Far Asia ni muhimu mno kwako. Zingati hilo tafadhari.
Alternatively ukiongea vizuri na washkaji wa pale airport wanakupatia Vaccination card bila tatizo. shilling 25,000 tuu. okoa muda wako.
Alternatively ukiongea vizuri na washkaji wa pale airport wanakupatia Vaccination card bila tatizo. shilling 25,000 tuu. okoa muda wako.
vipi viza, hawezi ipata hapo hapo airport?
vipi viza, hawezi ipata hapo hapo airport?
tEH TEH teh , JF is never bored !
vipi viza, hawezi ipata hapo hapo airport?
Iyo soo mkuu!
Hii tena kali ya mwaka kha!Alternatively ukiongea vizuri na washkaji wa pale airport wanakupatia Vaccination card bila tatizo. shilling 25,000 tuu. okoa muda wako.
Yani unaipata hapo hapo airport?how easy niger?
vipi viza, hawezi ipata hapo hapo airport?
Huwezi.
Inatokea pale ambapo unasafiri halafu una data zote kwamba Visa utapewa utakaposhuka uwanja wa ndege ukifika (mara nyingi kwa nchi za Afrika tu, za Ulaya na Marekani sijawahi ona), lakini hili mara nyingi linaleta tabu, kwa sababu shirika la ndege huwa linatozwa faini.
Hii tena kali ya mwaka kha!Alternatively ukiongea vizuri na washkaji wa pale airport wanakupatia Vaccination card bila tatizo. shilling 25,000 tuu. okoa muda wako.
Yani unaipata hapo hapo airport?how easy niger?
vipi air ticket ya singapore how much?return ticket?
Hii tena kali ya mwaka kha!
Yani unaipata hapo hapo airport?how easy niger?
Kuna baadhi ya nchi VISA unaipata kwenye AIRPORT zao. Nenda kapate chanjo, nadhani bei yake ni kati ya Sh. 5,000 na 8,000 kliniki ya Mnazi mmoja.