Unakimbilia huku jukwaani kupiga majungu wakati, ulipaswa kwenda TRA kuwatonya tusikie kwenye vyombo vya habari. Na hilo lingewazaidia wewe na mtandao wenu kwa ujumla kutoka. "Akili ni mali" kama si "nywele kila mtu ana zake"
Ndugu katika maelezo yake last week JJ alisema F4 alipata A9 na kila A ina present point 1. Na huwa points 7 ndizo zinazochukuliwa, kwa hiyo JJ alipata Dv I points 7. (Msaada tu nimetoa)
Ndugu si Vyema kutumia neno la Mungu, kwa kejeli!
Lets politics run on the lines of politics and lets the words of God run on the line of God's words.
(Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya kuzimu hayataweza kulishinda.)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.