Nape amfunika Kinana

Nape amfunika Kinana

hata mkitembea wawili mmoja kavaa SUTI na mwingine yupo UCHI, watu watamjadili aliye uchi. Nape ni kituko cha chama ndio maana watu wanamzungumzia zaidi, sio kwamba ni wamaana sana kwa kuropoka kwake.
 
Kama vimaneno vinaleta ushindi hivi sasa msingekuwa mnabanana pale manyanya, kata 29 mmepata 5 mnajiliwaza mmeshida hata, 2015 mkiongeza wabunge 3 mtajidai mme improve, subirini nginjanginja takatifu 2015!
 
Back
Top Bottom