Ushahidi tuhuma za January Makamba

Ushahidi tuhuma za January Makamba

mbona tarehe ya chini ni 6/3/06???? kwan tupo mwaka gani huu??
 
Ukweli siku zote huchelewa lakini unapo fika hubadilisha mchezo kabisa.
 
Ha ha ha ha Mchange rudini Mkajipange upya.
Jamaa anasema kafahamiana na Dada 2009
Barua ina time stamp ya 06 (2006)

Ha ha ha ha a

Si tarehe tu. Barua pia Vincenzo anajiandikia mwenyewe, tangu halafu anasema imepitiwa na Lawyer wake?
 
Hahahahaa sory jaman!!! Kwani tupo mwaka gani? Na hiyo barua mwaka wake vepeeeeeee!!!?
 
Kama umesikiliza "interview" ya J.Makamba nadhani usingeandika haya.Kuna mkanganyiko mkubwa wa mambo
 
Maji yameshamwagika. Wananchi wa nchi hii wamshajua ukweli hatakama wakihamua kuficha is too late. Inabidi January hakubali kulikuwa na deal kwani kwenye marecord kunaonyesha dalili zote za rushwa. Fanya jambo la burasara kwa watanzania waliokupigia kura na kwa manufaa ya taifa . JANUARY HACHIA NGAZI KWANI SITHANI TUTAKUMISS SANA.
Wakihamua =Wakiamua
Hakubali =akubali
Hachia = achia
 
Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.

jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.

leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.

Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.

ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
Nadhani hii kesi imeshafungwa!
Hakuna Mlalamikaji na hata huyo shujaa mlipua mabomu (Mange) naye kimya!
Naona jamaa wameshinda vita vya mtandao, hapo starring JPM pekee ndiye yupo huru, lkn waliobaki wameshawekwa mateka!
Hakuna Enzo wala Mange!
Hatuwaombei mabaaya the Makambaz Ila tusubiri tuone!
 
waswahili wabaya sana, wao hawana jema, sasa leo mzungu kawaumbua, wale waliokuwa mishipa imewatoka wapo wapi sasa?.
muogopeni mungu. January Fanya kazi, achana na wajanja wajanja hawa.
Kweli!!!
 
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! nimecheka sana sjui lema huwa anatapa wap maneno ya vichekesho utadhani mkwerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrreeeeeeeeeeeeeeeeee
Haaaaa haaaaa haaaaaaa
 
Haya mengine anapoteza muda tu.1+1=2.Hakuna sababu ya kutetea upuuzi wakati alishakiri kupokea pesa.Makamba jiondoe tu.Sifa ya kuwa kiongozi huna.
 
Huu mchezo wa kitoto kabisa, bora wangeacha, yeye demu wake Mwamvita, uhusiano umekwisha, ugomvi na Januaryugomvi upi tena. January anaweza kuwa alikwepa vihunzi vya kuchukua nyumba ya NHC bila kufuata taratibu, inawezekana pia aliruka kihunzi cha kudhaminiwa na raha.comwakati wa kampeni zake za kutaka kuwa mgombea uraisi, lakini katika hiki amekwama na kilichomuumiza zaidi ni kutaka kulifuta haraka haraka sakata hili,kama namuona vile January yuleeeee anamfuata Ali kijiweni
 
Haya mengine anapoteza muda tu.1+1=2.Hakuna sababu ya kutetea upuuzi wakati alishakiri kupokea pesa.Makamba jiondoe tu.Sifa ya kuwa kiongozi huna.
fisadi lowasa ana sifa ya kuwa kiongozi?
 
Back
Top Bottom