Kwanza matumizi ya kodi zinazokusanywa yawe sahihi, viongozi waishi maisha halisi ya Watanzania, sio wao waishi kama raia wa dunia ya kwanza ilihali kundi kubwa hata mlo haliwezi kupata. Kodi ikitumiwa kwa usahihi na maendeleo ya kodi inayokusanywa yakaonekana Wananchi tutahimizana wenyewe bila...
Ni jambo jema lakini inabidi ufahamu mahesabu yako vizuri, karibu kutafakari miaka 10 iliyopita milioni 100 ilikuwa na nguvu gani, na Je miaka 10 ijayo nguvu ya milioni 100 itakuwa sawa na Malengo uliyokusudia? Kama itakufaa unaanza kutekeleza
Kigumu kipi kuelewa hapa? Watu wanatoa mifano majiji makubwa yenye kipato kikubwa bei za nyumba ni Sawa au pungufu ya kwa bei za nyumba za maeneo yetu ya kishua, na hiyo athari haiishii huko, itaenda hadi huko unakosema sio kwa kishua, sehemu ambayo mtu angeweza kununua kiwanja kwa milioni 2 au...
Hizi story zipo kila miaka na hazisaidii Chochote, maridhiano nchi hii hayajaanza hapa. Hizo 4 RRRR mbona zilianza kutekelezwa kabla ya October 29, zilisaidia kuzuia kilichotokea kisitokee, ni siasa zile zile
Nafikiri wao wameweka idadi ya taarifa walizokusanya, kuna sehemu mbele kasema upo uwezekano idadi ikaongezeka kutokana na tume yao kukosa taarifa. Hawa wamefanya kazi sehemu ndogo sana ya tatizo, hawajafikia watu hata asilimia 1 ya Watanzania wote. Inshort hii Tume hamna ilichofanya
Nafikiri Board na Rais wanakuwa na nguvu sana kwenye eneo la ufundi kuliko Makocha, Mi naona mzee perez kashachoka na huu ulikuwa muda sahihi apumzike, ashaifanyia club mambo mengi sana lakini zama zimebadilika kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.