We ni Mjinga uwezekano upo sio mtanzania, Uchome Jenereta za Bwana la Umeme afu iweje? Nani atateseka? Unaona watu wanavyoteseka sasa hivi huko kimara baada ya kuharibu vituo vya mwendokasi?
Wengi hatuafiki kila linalofanywa na serikali hii haramu, lakini hatupo tayari kuchoma nchi yetu sababu...
Haya wao wenye machinery kama anavyosema watoe hizo takwimu, Wao wanapika kila takwimu si bora tuamini vyanzo vingine. Sensa wanapika Data, Matokeo ya Uchaguzi hata asiyesoma anajua Wamepika, tunasubiri machinery zao zije ziseme walikufa Watanzania 200, afu hapo Waketumia billion 20 kukusanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.