Recent content by Lord Lofa

  1. Lord Lofa

    Update: Mfano wa oda ya mbao kutoka Njombe kupeleka Dar es Salaam yenye mchanganuo wa gharama na vibali vyote

    Msaada kwa maeneo yanayoweza kuwa na mzunguko mzuri kwa mikoa iliyochangamka
  2. Lord Lofa

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Mastantuono apumzike tu, hii timu kudefend ni zero kabisa
  3. Lord Lofa

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Perez naye apumzike tu, imetosha
  4. Lord Lofa

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Angalia matokeo ya leo
  5. Lord Lofa

    Maeneo mengi ya Dar Es salaam kuna GARI CRUISER za plate Number za Mchongo zimeegeshwa kama vile kuna tukio wanajiandaa kulifanya

    We ni Mjinga uwezekano upo sio mtanzania, Uchome Jenereta za Bwana la Umeme afu iweje? Nani atateseka? Unaona watu wanavyoteseka sasa hivi huko kimara baada ya kuharibu vituo vya mwendokasi? Wengi hatuafiki kila linalofanywa na serikali hii haramu, lakini hatupo tayari kuchoma nchi yetu sababu...
  6. Lord Lofa

    PostGE2025 Rais Samia: Nguvu inayotumika inaendana na tukio lililopo. Ilikuwa tuwaangalie waandamanaji waliojiandaa kufanya mapinduzi mpaka wafanikiwe?

    Hapa bila mmoja kunyoosha mikono hakutakuwa na Haki wala Amani, 9 Dec Damu nyingi inaenda kumwagika
  7. Lord Lofa

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Wanaotoa takwimu za vifo wakati wa uchaguzi ni uchochezi

    Haya wao wenye machinery kama anavyosema watoe hizo takwimu, Wao wanapika kila takwimu si bora tuamini vyanzo vingine. Sensa wanapika Data, Matokeo ya Uchaguzi hata asiyesoma anajua Wamepika, tunasubiri machinery zao zije ziseme walikufa Watanzania 200, afu hapo Waketumia billion 20 kukusanya...
  8. Lord Lofa

    PostGE2025 Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa awahakikishia watalii usalama na kupuuza taarifa potofu

    Jamaa kiingereza hata kusoma tu bado shida wameandika ujinga
  9. Lord Lofa

    Msigwa alisema serikali inachunguza video kisha itatoa ufafanuzi lakini imekuja na malalamiko ya kutangazwa kimataifa tu na sio ufafanuzi wa video

    Nililojifunza Issue ya Utalii inawatikisa na wanaona wanaenda kupoteza pesa nyingi
  10. Lord Lofa

    PostGE2025 Msigwa: Uhakiki wa video za CNN unaendelea, serikali inatoa wito wa CNN kufuata weledi na maadili ya uandishi

    Kila wakifungua mdomo wanazidi kujitia najisi, bora wakae kimya tu
  11. Lord Lofa

    PreGE2025 Ushauri kwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS Kuhusu Kero Sugu ya Uhalifu wa Kiuchaguzi Unaofanywa na Wanasiasa Matapeli Wakati wa Chaguzi tangu 2010 hadi 2024

    yaani sasa hivi watawala watatamani wangefanyia kazi hii hekima ila muda haiku upande wao, maji yameshamwagika
Back
Top Bottom