Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ila ukija kwenye uhalisia ni Bora Madrid katoka maana Mimi sijaona alichoonyesha zaidi ya character feki, Bayern walivyo weupe kule nyuma Kwa personality za Cristiano na kina Ramos lazima wangetepeta, ishabaki historia...wachezaji viwango vimeshuka, hawana umakini na wala hawapo serious, timu IPO disorganized kabisa, Barca walipata redi game mbili lakini angalia character & personality walioionesha, very impressive but siyo Kwa Madrid...Ninachoona lazima waingie sokoni tu, Watafutwe watu wa kazi kweli na kocha wa kueleweka.
 
Kenge wakubwa nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Yamepigwaaaaaaaaa nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
 
Yametolewaaaaaa 🤣🤣🤣🤣 Safi sana kenge wakubwa nyie nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge
 
Wazee ile mechi ya jana na hata ile first leg imetuonyesha namna timu yetu haina balance kabisa,haswa eneo la kati na zaidi ni wakat wakushambuliwa..tuna viungo wakabaji average sana,very slow kwenye event nakufanya maamuzi na kimsingi ni kuwa eneo la kiungo ukitoa huyu dogo Guler ambaye anapika kwenda mbele...mtu wakumhakikishia ulinzi hakuna...next sesson nikwenda sokoni nakuangalia viungo wakabaji wenye uwezo wakufika maeneo kwa wakat nakunusa harufu ya hatar...lakini pia beki zetu za kati bado hazijakaa sawa na beki yakushoto pia...upande wa Kipa huyu Lunin mzee wakutinguliwa mbali sijui tufanyaje ila nae ni kimeo kwenye mechi muhimu na hana muendelezo mzuri.
 
Ubebe uefa beki Tchouameni 🤣🤣🤣🤣🤣 nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
 
Beki majasho Rudiger eti ubebe uefa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
 
Bora manchester united hatukumnunua

You dodged a bullet there. Cama is one of the dumbest players there is nimesema hili mara kibao, hana soccer IQ hata kidogo. Huwa nawaza aliwezaje kuwa pro tena kuchezea Madrid the most prestigious club. Tchou hayupo mbali either. Wanajua kutumia nguvu tu na fouls za kijinga kila muda.
 
You dodged a bullet there. Cama is one of the dumbest players there is nimesema hili mara kibao, hana soccer IQ hata kidogo. Huwa nawaza aliwezaje kuwa pro tena kuchezea Madrid the most prestigious club. Tchou hayupo mbali either. Wanajua kutumia nguvu tu na fouls za kijinga kila muda.
Na ana medali sijui tatu za uefa😁😁
 
Another season bila trophy. Timu mbovu
Mzee sie tulikosea tu msimu tu ulipoanza, Alonso sijui alimuogopa Perez, maana tulikuwa na mapungufu kwenye kiungo tokea pre season na hakuona haja ya kusajili, sijui alikuwa na mategemeo gani ili kiukweli alizinguq, hatukujenga team ya ushindani.
Tusubiri tu msimu uishe jamaa waangalie ikiwa wataendelea na Arbeloa ama wataenda na mtu mwingine.
 
Mzee sie tulikosea tu msimu tu ulipoanza, Alonso sijui alimuogopa Perez, maana tulikuwa na mapungufu kwenye kiungo tokea pre season na hakuona haja ya kusajili, sijui alikuwa na mategemeo gani ili kiukweli alizinguq, hatukujenga team ya ushindani.
Tusubiri tu msimu uishe jamaa waangalie ikiwa wataendelea na Arbeloa ama wataenda na mtu mwingine.
Nafikiri Board na Rais wanakuwa na nguvu sana kwenye eneo la ufundi kuliko Makocha, Mi naona mzee perez kashachoka na huu ulikuwa muda sahihi apumzike, ashaifanyia club mambo mengi sana lakini zama zimebadilika kwa sasa
 
Ukweli ni kwamba Real walikua wanahitaji world-class player eneo la kiungo mkabaji sio ushambuliaji.

Yaani nguvu waliyotumia kumuwinda mbappe wangeitumia kusaka kiungo wa maana.

Pia eneo la beki hasa Kati Rudiger sio wa kutegemeakwa sasa .

Tatizo Perez ana tabia ya kung'ang'ania wachezaji hata kama hawaleti faida kiwanjani.

Mfano alivyombmg'ang'ania Bale au Rodriguez James, Zidane hawataki ila yeye analazimidsha wawepo tu.

Tazama Sajili mpya zote hazijalipa. Mzee lazima abadilike na akubali kuachia baadhi ya wachezaji.

Jude, mbappe na Vinny wameonesha hawawezi kucheza timu Moja.

Bora atoke Mmoja au wawili, tazama mechi ambazo mbappe hayupo, vin hua na ka uhuru Fulani performance yake ina kua juu kuliko akiwa na mbappe

Binafsi Rudiger, Tret, Lunin, Mendy camavinga, Mbappe. Nikisikia wameondoka hata Leo Wala sistukinitafurahia tu.

Na wakimsajili Vitinha, wakamrudidha na Nico Paz pamoja na Olise.

Timu itakua na balance na unaweza kushindania makombe yote kikamilifu.
 
Back
Top Bottom