Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 14,215
- 30,402
Kuna muda unasema ngozi nyeusi kama Nyani hivi, kuna makosa watu wanafanya unashangaa
Nasema kila siku Cama na Tchou hawana soccer IQ hata kidodgo the only thing they offer in stupid fouls tu watu sijui huwa wanaona nini in them. Cama na Tchou sio level za Madrid hata kidogo hawana akili.