Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,585
- 2,664
Mbappe hana kosa ndio, je kaongeza Nini baada ya kuja?Yote sawa ila hapo kwenye mbape natofautiana kidogo na wewe, sijaona kosa lake maana yeye jukumu lake kufunga na anafunga, tatizo lipo kuanzia kiungo wa kati kwenda nyuma hasa golini akikaa lunin.
Kabla ya kuja yeye tulikua tunachezaje na baada ya kuja yeye imekuaje?
Binafsi naona ujio wake umeathiri ndani ya vyumba, ndomana hata makocha wakubwa wanaikwepa Madrid.
Achana na anachotoa ndani ya Uwanja huko sina noma nae, angalia timu kiujumla, Rhythm yetu imepotea.
Hata walipoanza misimu kwa mara ya kwanza si uliona misuguano mara wote watatu wanakimbilia eneo Moja (Winga ya kushoto)
Jiulize Kama tuna wachezaji watatu wa kiwa goncha Dunia ila wanaweza kucheza kwa usahihi namba mmoja tu, ndio Nini sasa?