Shetta alishawahi kuongea kupitia media kuhusu baba yake, baba yake ni Sheikh, alikuwa akisema baba yake siku za nyuma alikuwa hapendi yeye afanye muziki kwasababu muziki ni kinyume cha dini
AY ametoka mbali, aliwahi kusema aliwahi kufukuzwa nyumbani kwa wazazi wa rafiki yake baadaye akawa analala mtaani na kutumia vyoo vya mnazi mmoja kama bafu.
ingawa habari haijazibitishwa. lakini ni muhimu izingatiwe majimbo ya Segerea na Mwanga Chadema wana nguvu. CUF wana nguvu Mtwara. Ilala sifikirii NCCR wanapaweza itakuwa vizuri awepo mgombea wa kutoka Chadema au CUF. Babati vijijini Chadema wana mwanachama mwenye nguvu ambaye aligombea 2010...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.