UKAWA wagawana majimbo 211

UKAWA wagawana majimbo 211

Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA), wamegawana jumla ya majimbo 211 huku wakishindwa kuelewana katika kugawana majimbo mengine 28.

Pia,jimbo la Zitto limebaki kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).

My take:
This is a significant breakthrough in achieving political changes in our country.
=======================



Chanzo:Mtanzania

kushindwa inamaana ndio wameachia au... USHABIKI WAKO
 
Mnapima upepo wa kisiasa?

Hizi ni spinning za kitoto sana.

Kwahiyo unataka kututhibitishia kuwa gazeti la kada wa chama cha mapinduzi fisadi Rostam linawafanyia spinning wanachama wa chama cha mapinduzi? au linawafanyia spinning viongozi wa chama cha mapinduzi?
 
ni hatua njema tena ya kidemokrasia.....
Umoja ni nguvu na tena utengano ni udhaifu.
 
ingawa habari haijazibitishwa. lakini ni muhimu izingatiwe majimbo ya Segerea na Mwanga Chadema wana nguvu. CUF wana nguvu Mtwara. Ilala sifikirii NCCR wanapaweza itakuwa vizuri awepo mgombea wa kutoka Chadema au CUF. Babati vijijini Chadema wana mwanachama mwenye nguvu ambaye aligombea 2010 kupitia NCCR.
Ukawa wasifanye makosa
 
Kutokukubaliana ni sehemu ya siasa. Kizuri kuwe na mwafaka wa kutokukubaliana. mfano hayo majimbo 28 kila chama kipime uwezo wake...na ktk hilo ukawa inaweza kusimamisha wagombea wote (on exceptional basis). Hii itagawanya kura miongoni mwa wagombea lakini si faida kwa ccm.

..hivi kule ambako wameshindwa kukubaliana, katikati ya kampeni mgombea anayeona mambo yanamuendea kombo hawezi kujitoa na kumuunga mkono mwenzake toka Ukawa ambaye anaelekea kufanya vizuri??
 
..hivi kule ambako wameshindwa kukubaliana, katikati ya kampeni mgombea anayeona mambo yanamuendea kombo hawezi kujitoa na kumuunga mkono mwenzake toka Ukawa ambaye anaelekea kufanya vizuri??

Mkuu hili nalo neno, Ukicha viburi, kusema mimi labda nitaonekana nimeshindwa pamoja na kung'ang'ania kugombea mtu kutokana na kusoma alama za nyakati na kugindua kuwa amepwaya amuunge mkono mgombea mwenzake wa UKAWA Hata ikiwa kwa kuahidiwa kurudishiwa gharama fulani za kampeni alizokwisha kufanya.

Hii itasaidia kuondoa malalamiko kwa vyama hivyo na wagombea wake sehemu husika. Tatizo kubwa ni utashi, je tuko tayari..

BACK TANGANYIKA
 
Huu ni uwongo wa kiwango cha juu, mfano mzuri ni hapo Mwanga wanapotaka NCCR, ni lini NCCR imekuwa Mwanga? Jibu haijawahi kuwamo mwanga.

Hizo story za kupika za hawa waandishi wa habari hazina nia njema na umoja huu wa Ukawa hata kidogo.

Nccr haipo mwanga wala haijawahi kuwapo mwanga na Mwanga tutasimama na Chadema huwo ndiyo ukweli hakuna chama kingine kati ya hivi vya umoja huu ambavyo vimeweza kuingia kwenye mioyo ya Wanamwanga kama Chadema kwasasa.

Maoni yangu: umoja huu uwe makini kwenye mgawanyo wa majimbo usije ukatuletea chama kisichokubalika sehemu yeyote ile licha ýa umoja waliyo nao. Ni lazima wazingatie ukubalikaji wa chama sivinginevyo.
 
..hivi kule ambako wameshindwa kukubaliana, katikati ya kampeni mgombea anayeona mambo yanamuendea kombo hawezi kujitoa na kumuunga mkono mwenzake toka Ukawa ambaye anaelekea kufanya vizuri??

It's also possible. Hii iwe siri ndani ya ukawa na wagombea wajengwe ktk misingi hiyo. I really urge Makene to visit these posts....adui yetu ccm aliyetufanya watanzania wote wajinga (askofu, masheh, wasomi....). wamejifanya mungu mtu...
 
hizi habari sizan kama zina ukweli wowote

najua habari hii ni hatari kwako na chama chako ndio maana huwezi kuamini tulishawahadharisha mapema kuwa ukawa ni zaidi ya hatari kwa ccm kwa sasa mezeni tuu hata kama ya moto kwani ukawa ndio habari ya mjini
 
Huu ni uwongo wa kiwango cha juu, mfano mzuri ni hapo Mwanga wanapotaka NCCR, ni lini NCCR imekuwa Mwanga? Jibu haijawahi kuwamo mwanga.

Hizo story za kupika za hawa waandishi wa habari hazina nia njema na umoja huu wa Ukawa hata kidogo.

Nccr haipo mwanga wala haijawahi kuwapo mwanga na Mwanga tutasimama na Chadema huwo ndiyo ukweli hakuna chama kingine kati ya hivi vya umoja huu ambavyo vimeweza kuingia kwenye mioyo ya Wanamwanga kama Chadema kwasasa.

Maoni yangu: umoja huu uwe makini kwenye mgawanyo wa majimbo usije ukatuletea chama kisichokubalika sehemu yeyote ile licha ýa umoja waliyo nao. Ni lazima wazingatie ukubalikaji wa chama sivinginevyo.

Hizi taarifa magazetini.....tusubili taarifa rasmi. Hakuna chama kitag'anga'ani jimbo ambalo hakina wafuasi wengi na hakiwezi kushinda.
 
Huu unaweza kuwa mkakati maalumu wa kuleta changamoto kubwa kwa chama Cha Mapinduzi maana wakiwa na makubaliano imara na makini basi tutegemee mambo mazuri katika uchaguzi wa octoba, 2015.

Kila la kheri UKAWA.
 
It's also possible. Hii iwe siri ndani ya ukawa na wagombea wajengwe ktk misingi hiyo. I really urge Makene to visit these posts....adui yetu ccm aliyetufanya watanzania wote wajinga (askofu, masheh, wasomi....). wamejifanya mungu mtu...
Mkuu mimi nadhani kwamba waliopewa jimbo watatafuta mtu wa kugombea na hivyo kupeleka jina NEC na jina kuteuliwa na NEC rasmi kugombea wakati vyama vingine havitapeleka majina. Hivyo kwa mfano Ubungo kutakuwa na Mnyika wa CDM akiwakilisha UKAWA hivyo NCCR, CUF na NLD hawatasimamisha mgombea Ubungo. Kwa maana hiyo hakutakuwa na nafasi ya kuachiana wakati wa kampeni kwa kuwa vyama hivyo havitakuwa na mgombea.
 
Nothing is perfect under the sun,hivyo siona kama kuna tatizo la hicho kiporo cha majimbo 28,kaa ukijua kuwa hata ww ukiwa na umoja fulani na mwenzako halafu ukawa ni mtu wa kukubali kila kitu kiurahisi ujue wewe ni dhaifu,hivyo umoja imara huja kwa majadiliano imara kwa hoja imara.
 
Huu ni uwongo wa kiwango cha juu, mfano mzuri ni hapo Mwanga wanapotaka NCCR, ni lini NCCR imekuwa Mwanga? Jibu haijawahi kuwamo mwanga.

Hizo story za kupika za hawa waandishi wa habari hazina nia njema na umoja huu wa Ukawa hata kidogo.

Nccr haipo mwanga wala haijawahi kuwapo mwanga na Mwanga tutasimama na Chadema huwo ndiyo ukweli hakuna chama kingine kati ya hivi vya umoja huu ambavyo vimeweza kuingia kwenye mioyo ya Wanamwanga kama Chadema kwasasa.

Maoni yangu: umoja huu uwe makini kwenye mgawanyo wa majimbo usije ukatuletea chama kisichokubalika sehemu yeyote ile licha ýa umoja waliyo nao. Ni lazima wazingatie ukubalikaji wa chama sivinginevyo.

Nafikri pia nia yao ni kuweka umoja zaidi kwa sababu kila chama inataka kujikuza kwa hyo hata sehemu ambayo hawana nguvu ilibid wapewe tu ili chama angalau inaonekana kukua!
Pia ninachotaka kujua ni kama vyama vingine vimepewa nafas zanzibar zaid ya cuf, mwenye taarifa naomba msaada.
 
Mkuu wewe kweli akili yako ni shake well before use
Kikundi hicho ni kipi? umekisajili wewe?
Unajua ukizoea kuishi kwa UNAFIKI usidhani watu wote tuko hivyo.
You are better at kuwahadaa wananchi kwa kubeba matofali ilihali ni serikali yenu ndiyo chanzo cha maisha duni ya Watanzania.
Kwa sababu wewe uko na akili kwenye magoti huwezi kuelewa kuwa CCM imekataliwa....Tatizo ni voters turnover

ndg uliposema maisha duni nilitamani kulia kwa sababu kila siku nasikia uchumi unakua ila uchum wa mtz wa kawaida haukui.
Ndipo naanza kufikiria scendo za ufisadi kama epa, rada, ndge ya Rais, escrow.
Halaf nachukua imagination fulan ya mikataba mibovu na ufisadi ambao haujafichuliwa lazima utataman kulia
ukawa wamefanya jambo la msingi na tena waendelee na msimamo huohuo na kama vp waue vyama vingine vyote wasajili ukawa kama chama!
 
Back
Top Bottom