lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Habari zenu wanajamvi,
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya ambao sio rasmi nimegundua kwamba wanawake kwa wanawake hawapendani tofauti na ilivyo kwa jinsia ya kiume.
Wapo wanawake ambao hawapendi kuona wanawake wenzao wakiolewa na wanaume wenye maisha mazuri,wakipata mafanikio kama kupata kazi nzuri,kumiliki biashara za maana,kuwa na usafiri mzuri n.k
Kuna wanawake ambao wapo radhi kwenda kukopa kwa rafiki wa kiume pindi wanapohitaji msaada wa kifedha kuliko kuazima kwa wanawake wenzao hata kama wana uhakika wa kupata wanachohitaji.
Nini hasa husababisha hali hii?
Karibuni wanawake kwa wanaume tuweze kupata mtazamo wa pamoja juu ya jambo hili.
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya ambao sio rasmi nimegundua kwamba wanawake kwa wanawake hawapendani tofauti na ilivyo kwa jinsia ya kiume.
Wapo wanawake ambao hawapendi kuona wanawake wenzao wakiolewa na wanaume wenye maisha mazuri,wakipata mafanikio kama kupata kazi nzuri,kumiliki biashara za maana,kuwa na usafiri mzuri n.k
Kuna wanawake ambao wapo radhi kwenda kukopa kwa rafiki wa kiume pindi wanapohitaji msaada wa kifedha kuliko kuazima kwa wanawake wenzao hata kama wana uhakika wa kupata wanachohitaji.
Nini hasa husababisha hali hii?
Karibuni wanawake kwa wanaume tuweze kupata mtazamo wa pamoja juu ya jambo hili.