Miss Natafuta mi huwa si mchangiaji sana humu. Ila kwenye hii mada, nimeshindwa kuvumilia, yaani umenipa somo la nguvu. Kwa kweli wanawake kutoenda sokoni ni janga la kitaifa. Utashangaa vigenge kila kukicha vinaibuka kama uyoga, kumbe chanzo ni uvivu wa kina mamsap wetu?
Kwa kuanzia natafuta...
Ndugu Wanabodi,
Hii tabia wanayoifanya hawa ndugu zetu imekuwa ni kero sana kwangu. Kwa muda mrefu hawa jamaa hasa zinapokaribia sikukuu maarufu za kidini, huanzisha mgawo wa umeme mida ya usiku mnene. Hivi nnaomba kuwauliza, huwa mnafanya hivyo ili tuibiwe na vibaka wa mifugo?
Ni jambo...
Salamu kwa wote.
Nimeona niisemee hii kero humu jamvini wadau. Kwa muda zaidi ya wiki sasa hawa ndugu zetu wameanzisha kautaratibu ambako si rasmi, ka kutukatia umeme mida ya saa 9 alfajiri na kuurudisha saa 12 asubuhi. Sikatai inawezekana wanafanya hivyo kwa nia njema tu, lakini uzoefu wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.