Tumeirekodi hii !
Wewe nani......... mxyuuuuuuuuu...!
Tumeirekodi hii !
Damu ya Kamanda MAWAZO italipwa siku si nyingi! Italipwa!
Jamani Mbona hakuna anayeeleza kisa cha yeye kuvamiwa? Yeye kama mwananchi anaweza tenda kosa kwahiyo msikimbilie kwenye nafasi yake bila kueleza mkasa mzima.
Wewe nani......... mxyuuuuuuuuu...!
NYUMBU tu wewe.
Nyumbu ni zile zilizo pangisha Chadema kwa ccm b !
Waliofanya tuko hili wakamatwe Mara moja na sheria ichukue mkondo wake,
Kwani hakuna mwanadamu mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mwenzake.
Police fanyeni kazi yenu kwa weredi wenu na kwa kutumia intelijensia yenu kuwanasa wote waliohusika na tukio hilo.
Ili kuondoa mtazamo hasi juu ya jeshi letu lenye dhamana ya ulinzi wa raia na mali zao.
Siasa hizi za mauaji zikomeshwe Mara moja kuendelea kuzifumbua macho ni kulitumbukiza taifa letu kwenye machafuko.
Wananchi wote tuwe watulivu wakati jeshi la police likifanya kazi yake.
We kagua maandishi yako unafata mkumbo kama NYUMBU tu huna lolote
Nimekosa raha tangu Jana niliposikia Mawazo kauliwa,Nina majonzi makubwa sana moyoni na hasira juu
we nani na ujinga wako.eti tupo kila mahali mmekuwa MUNGU?Unajisifia upumbavu wako na wakati hata leo Mungu akiamua kukuua uku mavi yanakutoka na unajinsi ya kukataa.Ni Sisi ......... na tupo kila mahali ! mmhghtuuu !