Nahirat
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 597
- 983
Alafu pia mwengine mfanyakazi alafu huku anasoma evening anarudi saa tatu. Huyu asubuhi anamka saa 11 alfajir. Wanachooka piaambae haachi hela unachana nae .ila wapo wanaoacha hela wanakutana na wali mchuzi tu
Hayayote yanatokea kwenye jamii yetu. Kwahyo huenda kuna factors nyingi.
Lakini kama anamda na pesa basi hayo ni makosa