We kilaza kaa kimya, akizunguka kuna kinachokuwasha:what: hivi nyie fisiem kuna gharama yoyote ile inayowatoka:what: Ukawa lazima tuwashukuru wapiga kura coz wametuchagulia wabunge na madiwani wa kumwaga, Piiiiipooooozzz..!!
Sio kilaza ameeleza jinc alivyo, unachotakiwa ni kumshauri ili ajue afanye nini, ndugu yangu wewe ndiye kichwa na hakuna mahali popote duniani watoto wakafuata dini ya mama, na endapo wamefuata ni kutokana na mama kurukaruka na kukataa kumweka wazi baba wa mtoto au muda mwingine baba anafariki...
Nguzo muhimu:what: na watoto wake na mume wake:what: msikuze mambo watz, mara pole wewe na familia yako sijui nini:what: na wengine si ajabu mnatafuta nauli muende kuhani msiba ili mle tu:what:
Alikuja katibu wenu,akaja prezdaa mastaafu mwisho wa siku alionekana kona ya himo akila kona, Lema akawa mbunge, mafisadi wamebaki fisiem na wengine wameteuliwa kuwa mawaziri, rais wenu,sera za ukawa:D
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.