You're welcome Lady...
Hii series ni kali mno itafute hii Force ni kali sana lakini ata iyo ya Kanan ni nzuri pia umo ndani kuna watu wamepinda sana kuanzia Mama yake Kanan sio mchezo yaani ni gangsters kweli kweli...
Kama ghost wakitaka kumrudisha nahisi watatumia hii book 3 Raising Kanan..
Kwanza jua power zipo book 4
Power book 1 hii ndo yupo ghost ambaye mwishon wa season anauliwa na mtoto wake Tariq
Power book 2(Ghost) hii inamuhusu Tariq nae ameamua kuanza kufanya ishu za Drugs
Power book3 ( Raising Kanan) hii inamuhusu Kanan(50 cent) life lake tangu utoto na familia yake...
hii part karibia wapenda movie wote wamefurahi, nmepita uko IG naona wengine wamerecord kabisa wanapiga kelele kwa furaha
Hii Power ni moto wa kuotea mbali🔥🔥🔥
Wanapeana matumain tu mkuu kadri siku zinavyoenda izo nafasi ndo zinazid kuwa finyu, me mwenyewe nilimani niingie chomboni lakini kwa jinsi hali ilivyo nikaona nifocus kwingine tu
Unaangalia mara inarudi miaka ya nyuma mara iyo miaka ya nyuma inarudi tena walinishangaza tu pale mtoto kamzaa mama yake mzazi ambaye alimzaa miaka kazaa nyuma apo kweli bila GB za kutosha kwenye ubongo HUTOBOI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.