Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Daaah, angalau kiukweli!! Ni kweli tulicheza vibaya, ila hatukustahili hata droo na hawa jamaa, maana dakika za mwisho vijana walijaribu kila walichoweza, na mwishowe wamefanikiwa!!
 
What's going on with Real Madrid man? Yaani timu umekuwa mediocre hatuna tofauti na Getafe kabisa

Timu ina wachezaji wengi sana bang average players wanaodhani wao ni superstars sababu tu wanacheza RM. Wale kina Tchou, Cama, asencio, mastatuno sio level ya Madrid hata kidogo. Na players wengine Wana underperform huku wakiwa na nguvu kuliko coaches. It's a lose-lose situation. Nina uhakika Benfica anatukanda UCL.
 
Timu ina wachezaji wengi sana bang average players wanaodhani wao ni superstars sababu tu wanacheza RM. Wale kina Tchou, Cama, asencio, mastatuno sio level ya Madrid hata kidogo. Na players wengine Wana underperform huku wakiwa na nguvu kuliko coaches. It's a lose-lose situation. Nina uhakika Benfica anatukanda UCL.

Wacha Benfica watutandike labda Perez ndio atapata akili
 
Jose Mourinho ni tactician, ashajua tayari afanye nini. Lakini football ni nyoko, every game is different, ndio utamu wake unakuwaga hapo.
Hii timu beat Barcelona na wako vizuri sana msimu huu, let's wait and see
Itategemea na hali ya kikosi man, maana team haikai sawa kutokana na wachezaji kupata mahejeraha ya mara kwa mara!!
 
Timu ina wachezaji wengi sana bang average players wanaodhani wao ni superstars sababu tu wanacheza RM. Wale kina Tchou, Cama, asencio, mastatuno sio level ya Madrid hata kidogo. Na players wengine Wana underperform huku wakiwa na nguvu kuliko coaches. It's a lose-lose situation. Nina uhakika Benfica anatukanda UCL.
Team yetu ni kweli haina muunganiko mzuri!! Ila sioni Benfica wakitutoa mazee, muda ni mwalimu mzuri!!
 
Itategemea na hali ya kikosi man, maana team haikai sawa kutokana na wachezaji kupata mahejeraha ya mara kwa mara!!

Wachezaji waliokuwa nje kwa majeraha wote wazee, wengi wao sijui kama watabaki Bernabeu mwisho wa msimu. Kikosi kilichocheza leo ndio timu yetu tegemeo kwa mechi zilizobaki
 
Wachezaji waliokuwa nje kwa majeraha wote wazee, wengi wao sijui kama watabaki Bernabeu mwisho wa msimu. Kikosi kilichocheza leo ndio timu yetu tegemeo kwa mechi zilizobaki
Inawezekana, ila hatuna kiongozi kwenye idara yetu ya Ulinzi, Militao na beki yoyote upande wa kulia akirudi tutakuwa tofauti kidogo, kisha Valverde arudi kwenye kiungo japokuwa hana tofauti kubwa sana na waliopo ila anaweza kusaidia ulinzi kwenye hiyo layer ya pili.!!
 
Naona Arbeloa anafanya alichokuwa anafanya Alonso kumuanzisha Mastantuono badala ya Rodrygo, binafsi mpaka muda huu sijaona ubora alionao huyo dogo kiasi cha kuanza mbele ya Rodrygo na Brahim.
 
Team yetu ni kweli haina muunganiko mzuri!! Ila sioni Benfica wakitutoa mazee, muda ni mwalimu mzuri!!

Tumeshinda kwa mbinde jana against Rayo. Tumefungwa na Benfica. Tumefungwa na Albacete. Hold the worst goal-conceding record since 2025 in Europe's top 5 leagues. Kwanini Benfica ashindwe kutufunga tena? Hii timu ni mbovu mno, haina creativity wala cohesion. Kila mtu anajichezea tu ilimradi. On top of that, wachezaji wengi sana ni average sio level za RM kucompete against the big boys of Europe.
 
Naona Arbeloa anafanya alichokuwa anafanya Alonso kumuanzisha Mastantuono badala ya Rodrygo, binafsi mpaka muda huu sijaona ubora alionao huyo dogo kiasi cha kuanza mbele ya Rodrygo na Brahim.

Mastatuno, Cama na Tchou hawapaswi kabisa kuwa RM. Wale ni wachezaji wa mid table teams sijui Madrid iliona nini kwake!
 
Benfica wako na Mourinho, I'm not a big fan lakini ukweli utabaki palepale, jamaa ndio aliyefanya change of football pale Bernabeu. Tumebeba UCL zote na Ancelotti na Zidane kwa kutumia philosophy ya Mourinho. Real Madrid ilikuwa na majina makubwa yote R9, Raul, Figo Beckham na wengine, enzi hizo za Fabio Capello, lakini ilipata tabu sana mpaka alipokuja huyu mwamba ndio ikawa mwisho wa mateso.
Ndio maana nasema, sio kama tutatolewa na Benfica, lakini ukweli usemwe, huyu jamaa ni fundi kwahiyo hii play off ngumu sana ambayo inahitaji focus
 
Atletico walikuwa hawatusumbui chini ya Jose Mourinho kwasababu line-up yake ilikuwa sio ya kukariri kama hawa makocha wengine. Angali 2012 against Diego Simeone, wachezaji 6 wote ni defensive, na hii tulitoka na clean sheet

1000120078.jpg
 
Sielewi kwanini alikuwa hamtumii Endrick, ama hii Lyon ndio size yake? Dogo ana kitu!!
 
Back
Top Bottom