Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Tumepewa penalty hapa, acha tuone kama tunaweza kuweza kufanya jambo
What's going on with Real Madrid man? Yaani timu umekuwa mediocre hatuna tofauti na Getafe kabisa
Timu ina wachezaji wengi sana bang average players wanaodhani wao ni superstars sababu tu wanacheza RM. Wale kina Tchou, Cama, asencio, mastatuno sio level ya Madrid hata kidogo. Na players wengine Wana underperform huku wakiwa na nguvu kuliko coaches. It's a lose-lose situation. Nina uhakika Benfica anatukanda UCL.
Itategemea na hali ya kikosi man, maana team haikai sawa kutokana na wachezaji kupata mahejeraha ya mara kwa mara!!Jose Mourinho ni tactician, ashajua tayari afanye nini. Lakini football ni nyoko, every game is different, ndio utamu wake unakuwaga hapo.
Hii timu beat Barcelona na wako vizuri sana msimu huu, let's wait and see
Team yetu ni kweli haina muunganiko mzuri!! Ila sioni Benfica wakitutoa mazee, muda ni mwalimu mzuri!!Timu ina wachezaji wengi sana bang average players wanaodhani wao ni superstars sababu tu wanacheza RM. Wale kina Tchou, Cama, asencio, mastatuno sio level ya Madrid hata kidogo. Na players wengine Wana underperform huku wakiwa na nguvu kuliko coaches. It's a lose-lose situation. Nina uhakika Benfica anatukanda UCL.
Itategemea na hali ya kikosi man, maana team haikai sawa kutokana na wachezaji kupata mahejeraha ya mara kwa mara!!
Inawezekana, ila hatuna kiongozi kwenye idara yetu ya Ulinzi, Militao na beki yoyote upande wa kulia akirudi tutakuwa tofauti kidogo, kisha Valverde arudi kwenye kiungo japokuwa hana tofauti kubwa sana na waliopo ila anaweza kusaidia ulinzi kwenye hiyo layer ya pili.!!Wachezaji waliokuwa nje kwa majeraha wote wazee, wengi wao sijui kama watabaki Bernabeu mwisho wa msimu. Kikosi kilichocheza leo ndio timu yetu tegemeo kwa mechi zilizobaki
Team yetu ni kweli haina muunganiko mzuri!! Ila sioni Benfica wakitutoa mazee, muda ni mwalimu mzuri!!
Naona Arbeloa anafanya alichokuwa anafanya Alonso kumuanzisha Mastantuono badala ya Rodrygo, binafsi mpaka muda huu sijaona ubora alionao huyo dogo kiasi cha kuanza mbele ya Rodrygo na Brahim.
Arbeloa asisubiri waanze kumpigia kelele kuhusu Rodrygo kama ilivyokuwa kwa Alonso.Mastatuno kama Cama na Tchou tu hawapaswi kabisa kuwa RM. Wale ni wachezaji wa mid table teams sijui Madrid iliona nini kwake!
Arbeloa asisubiri waanze kumpigia kelele kuhusu Rodrygo kama ilivyokuwa kwa Alonso.
Hii timu inahitaji kocha mwenye jeuri na mafanikio.
Wanachofanya sasahivi ni kupeana kazi kwa kujuana tu, sioni umuhimu wa kumpandisha Arbeloa kuwa kocha wa senior team.Kabisa. Inahitaji kocha mkali asiyecheka na yeyote.
Wanachofanya sasahivi ni kupeana kazi kwa kujuana tu, sioni umuhimu wa kumpandisha Arbeloa kuwa kocha wa senior team.
Sasa Endrick amuweke Mbappe benchi!? Au unataka nani amuache emb sema Vin, Rodrigo, Bellie au Guler etii??Sielewi kwanini alikuwa hamtumii Endrick, ama hii Lyon ndio size yake? Dogo ana kitu!!