Recent content by livelong

  1. L

    Utafiti waonyesha supu ya Pweza inaongeza hamu ya kufanya mapenzi

    No baadaya kumwona akitaka kula na toothpick ya sikioni
  2. L

    Utafiti waonyesha supu ya Pweza inaongeza hamu ya kufanya mapenzi

    Sikuweza kunywa kwani niliishia kutapika na sina hamu ya kula hadi leo
  3. L

    Utafiti waonyesha supu ya Pweza inaongeza hamu ya kufanya mapenzi

    Hii habari nimeiona kwa macho yangu mwenyewe sio kuhadithiwa. Habar za majukumu wana jf poleni na makali ya maisha na mbano wa mkuu wa kaya. Niende kwenye story kamili. Baada ya kutoka kutoka kwenye majukumu yangu hivi muda wa jioni kama saa moja nikaona supu ya pweza sehem huku watu wakianza...
  4. L

    Nauza Samsung Galaxy Note 4

    Nauza galaxy note 4 yangu imetumika miezi mitatu tuu. Ina warranty ya miaka miwili na iko kwenye hali nnzuri. Niko dar 0718351924 bei ni 630000
  5. L

    USAHIHI: Kuhusu uvumi wa John Mnyika

    Juzi zimevuma hapa za kile kilichosemwa ni waraka aliotoa John Mnyika akitaka lowassa akamatwe kwa ufisadi. Mimi sio mwandishi mzuri sana au sio mwanasiasa mzuri ila nna maswali mengi kichwani. Natilia shaka juu ya huu waraka unaweza kuwa ni wa kutengenezwa, kwanini? 1. Kwanini ccm wasitafute...
  6. L

    Picha Zinatisha: Akamatwa na kichwa cha binadamu huko Mbeya

    Aliyechuna ngozi alitokea uchagani?
  7. L

    Wakina baba/kaka

    Aliyeandika huu uzi ni single mother.
  8. L

    Nifanye nini mke wangu ajue nampenda?

    Ungekua karibu yangu leo ungekunywa bia sana. Yaani utadhani ulikua kichwani kwangu
  9. L

    Hatimaye hoja ya msingi ya kambi ya upinzani bungeni kutoka nje imeonekana

    Asante kwa kuchangia. Kuna haja kubwa ya kuachana na kuwajibu hawa wachumia tumbo wa lumumba hapa jf, tunapoteza muda mwingi kuwajibu huku wakijisikia wana kitu kichwani kumbe ni empty backet. Lets focus on issue not hawa lumumba
  10. L

    Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka

    Vijana wa buku7 lumbumba wameongezewa sasa hivi wako dodoma pia wamejifungia wanacoment jf
  11. L

    Kinachoendelea UKAWA hivi sasa kinanifanya niwakumbuke Dk. Slaa na Zitto

    Cmm- "mbunge yeyote atakayeshindwa kukubaliana na bajeti hii arudishe kadi ya uanachama" wabunge wa cmm=225, wabunge wa upinzani=118. Maamuzi ya kupitisha bajeti au kuipinga ni ndioooooo na hapana. Hapa kwa akili yako ni wabunge wepi wataipitisha hiyo bajeti na ni wangapi wataipinga? Kwa hesabu...
  12. L

    Kinachoendelea UKAWA hivi sasa kinanifanya niwakumbuke Dk. Slaa na Zitto

    Mtabwabwaja hapa mwisho wa siku mtalala wachumia tumbo nyie. Wapinzani wakitoka inakuhusu nini
Back
Top Bottom