Hii habari nimeiona kwa macho yangu mwenyewe sio kuhadithiwa.
Habar za majukumu wana jf poleni na makali ya maisha na mbano wa mkuu wa kaya. Niende kwenye story kamili.
Baada ya kutoka kutoka kwenye majukumu yangu hivi muda wa jioni kama saa moja nikaona supu ya pweza sehem huku watu wakianza...
Juzi zimevuma hapa za kile kilichosemwa ni waraka aliotoa John Mnyika akitaka lowassa akamatwe kwa ufisadi.
Mimi sio mwandishi mzuri sana au sio mwanasiasa mzuri ila nna maswali mengi kichwani. Natilia shaka juu ya huu waraka unaweza kuwa ni wa kutengenezwa, kwanini?
1. Kwanini ccm wasitafute...
Asante kwa kuchangia.
Kuna haja kubwa ya kuachana na kuwajibu hawa wachumia tumbo wa lumumba hapa jf, tunapoteza muda mwingi kuwajibu huku wakijisikia wana kitu kichwani kumbe ni empty backet. Lets focus on issue not hawa lumumba
Cmm- "mbunge yeyote atakayeshindwa kukubaliana na bajeti hii arudishe kadi ya uanachama" wabunge wa cmm=225, wabunge wa upinzani=118. Maamuzi ya kupitisha bajeti au kuipinga ni ndioooooo na hapana. Hapa kwa akili yako ni wabunge wepi wataipitisha hiyo bajeti na ni wangapi wataipinga? Kwa hesabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.