Siku hizi si ajabu kumkuta mwanaume anapigwa na mke wake/mpenzi wake, kaka zangu mkipigwa na wake zenu/wapenzi wenu mnauwezo wa kuyahadithia nje? Hii ni janga lililoibuka na wanaume wengi wanaumizwa ndani ya nyumba lakini hawana uwezo wa kuyasema nje.
Na tuishi nao kwa akili!Siku hizi si ajabu kumkuta mwanaume anapigwa na mke wake/mpenzi wake, kaka zangu mkipigwa na wake zenu/wapenzi wenu mnauwezo wa kuyahadithia nje? Hii ni janga lililoibuka na wanaume wengi wanaumizwa ndani ya nyumba lakini hawana uwezo wa kuyasema nje.
Yatupasa kuanzisha TAMWA ya wababa/kaka wajameniWe acha kunawake wanamaliza kilo ya dona na maharage, ukiingia ndani anakuwakia umetoka wapi? Ukichelewa kujibu umekula zinga la kibao. Kwa kweli kuna wanaume wananyanyasika sana kwenye ndoa na hawawezi kusema hadharani.
kumbeeee!!!Siku hizi si ajabu kumkuta mwanaume anapigwa na mke wake/mpenzi wake, kaka zangu mkipigwa na wake zenu/wapenzi wenu mnauwezo wa kuyahadithia nje? Hii ni janga lililoibuka na wanaume wengi wanaumizwa ndani ya nyumba lakini hawana uwezo wa kuyasema nje.
ah wee mwanamke akupige jibaba lizima mbona ubwe..ge huo jamani. as a man u need to put a woman in her right place which is ...yeye ni wa kugegeedwa, kuzaa na kulea familia
Wewe ndo wa kupigwa. Ovyo!
Wanawake do more than that these days.
sasa kwani wewe unavyotaka kuolewa kazi yako nini huko kwenye ndoa kama sio kugegedwa na kuzaa? ebu kaa kwenye ndoa alafu usizae uone mtiti wake.
hizo "more" ni extras dada.
So "extras" anazofanya hazina maana?, za maana ni kugegedwa na kuzaa tu?..again...Ovyo!
We acha kunawake wanamaliza kilo ya dona na maharage, ukiingia ndani anakuwakia umetoka wapi? Ukichelewa kujibu umekula zinga la kibao. Kwa kweli kuna wanaume wananyanyasika sana kwenye ndoa na hawawezi kusema hadharani.
ebu wewe hizo exras ambazo unaona za maana kwako wewe niwekee hapa labda utanifumbua macho
but plz usiniambieeti mwanamke anaweza kuongeza kipato cha familia, thats irrevant becoz hilo sio jukumu la mwanamke. mwanamke lake kuhudumiwa.
i do agree behind every succesful man there is a woman, that woman is ur mother not ur wife. na ndiomaana nasema mwanamke jukumu lake kuu kugegedwa, kuzaa na kulea. mengine mbwembwe tuu.
ni sawa na mwanaume jukumu lake kuu ni kumuhudumia mwanamke, suala la mie najua kugegeda vizuri hizo mbwembwe tuu
Huh!,...News to me!
Behind every successful man there is a woman and that woman is his mother?!!, kama hajaoa sawa.
Mwanaume akioa anaenda ishi na mama yake au na mkewe?
And what do you mean when you say mwanamke hawezi kuongezea kipato cha familia? Ina maana wanawake wenye kazi zao na wanaojituma hawahesabiki kama wanafanya ya maana katika jamii?!, OMG!
wee angalia qualities ambazo wanawake love connect wanataja and u will see tayari wanataka ready made man, sasa mke hapo kachangia nini? mke anakuja kufanya finishing tuu bwana wewe mama mzazi ndio kaweka msingi na kunyayua boma.
kuhusu kipata, mara ngapi wanakuja wanaume hapa wanalalamika wake wana mshahara lakini kila kitu ni kwa mwanaume kutimiza, hadi petrol ya gari. mwanamke pesa yake ni yake mwenyewe contibution atakayotoa itakuwa 5% tuu 95 % ya mambo ya nyumbani anabeba mwanaume ata kama mwanamke ana kazi na kipato kizuri.