Kinachoendelea UKAWA hivi sasa kinanifanya niwakumbuke Dk. Slaa na Zitto

mongoya

JF-Expert Member
Feb 16, 2014
298
120
Wakuu

Nimekuwa nikifuatilia muenenendo mzima wa siasa nchini na nimebaini kuwa Viongozi wa upinzani wa kipindi hichi hususani CHADEMA, ipo haja ya kuwatathmini ama wao kujitathmini ni wapi wanapwaya.

Ukiangalia kwa umakini sababu iliyowatoa bungeni sidhani kama inaeleweka vizuri.

Kwa siku ya Jana tarehe 20/06/2016 nimejaribu kumsikiliza James Mbatia kwa kina labda ningeweza kubaini sababu hasa inayotufanya kuendelea kuyafanya haya tunayoyafanya.

Lakini pia najiuliza, hivi viongozi wetu wana "compare" kweli faida
na hasara ya hivyo vitendo vinavyoendelea kwa mustakabadhi wa chama na Taifa kwa Ujumla.


Swali langu ni je hivi Dk. Slaa au ZZK wangekuwepo katika uongozi tungelifikia hatua hii?
 
Hao kwa sasa hawana hoja.....wanafanya siasa maigizo....kama hawataki kuhudhuria vikao vya bunge heri wakae majumbani tutambue wawakilishi wetu hawapo bungeni.....kuliko kila siku kusikia habar za kutoka nje bunge...mara waje mask usoni....sisi watanzani tunazo akili za kutosha tunawasubiria majimboni mje na hizo mask baada ya maendelea na huku tunaona na tunasikia kinachoendelea huko
 
Wakuu

Nimekuwa nikifuatilia muenenendo mzima wa siasa nchini na nimebaini kuwa Viongozi wa upinzani wa kipindi hichi hususani CDM ipo haja ya kuwatathini ama wao kujitathimini ni wapi wanapwaya.

Ukiangalia kwa umakini sababu iliyowatoa
bungeni sidhani kama inaeleweka vizuri.

Kwa siku ya Jana tarehe 20/06/2016 nimejaribu
kumsikiliza James Mbatia kwa kina labda ningeweza kubaini sababu hasa inayotufanya kuendelea
kuyafanya haya tunayoyafanya.
Lakini pia najiuliza, hivi viongozi wetu wana "compare" kweli faida
na hasara ya hivyo vitendo vinavyoendelea kwa mustakabadhi wa chama na Taifa kwa Ujumla.


Swali langu ni je hivi Dk Slaa au Zzk wangekuwepo katika uongozi tungelifikia hatua hii?
Dk. Slaa hasingeweza kukubaliana na utoto wa namna hiyo. Wao wakubali kuwa walikurupuka kutoa msimamo usio mantiki. Sio wanachama wote wanaungana na misimamo inayokera kiasi cha kushusha hadhi ya chama pendwa
 
mbatia kahamia lini CHADEMA halafu mbona zzk ndo yupo mstari wa mbele kupambana na ubakaji hu wa demokrasia au maharage ulokula jana yamepanda kichwani au umekosa cha kuandika
 
Wakuu

Nimekuwa nikifuatilia muenenendo mzima wa siasa nchini na nimebaini kuwa Viongozi wa upinzani wa kipindi hichi hususani CDM ipo haja ya kuwatathini ama wao kujitathimini ni wapi wanapwaya.

Ukiangalia kwa umakini sababu iliyowatoa
bungeni sidhani kama inaeleweka vizuri.

Kwa siku ya Jana tarehe 20/06/2016 nimejaribu
kumsikiliza James Mbatia kwa kina labda ningeweza kubaini sababu hasa inayotufanya kuendelea
kuyafanya haya tunayoyafanya.
Lakini pia najiuliza, hivi viongozi wetu wana "compare" kweli faida
na hasara ya hivyo vitendo vinavyoendelea kwa mustakabadhi wa chama na Taifa kwa Ujumla.


Swali langu ni je hivi Dk Slaa au Zzk wangekuwepo katika uongozi tungelifikia hatua hii?

Kwa nini usingetumia muda wako kujadili bajeti iliyopitishwa na wabunge wote majuzi ili kuona matarajio ya wananchi yatafikiwa ama vipi? Kumjadili Dr Slaa anayekula bata ughaibuni kutasaidia kweli kupunguza bei ya sukari mkuu??
 
Mtabwabwaja hapa mwisho wa siku mtalala wachumia tumbo nyie. Wapinzani wakitoka inakuhusu nini[/QUOTE]

Mkuu wewe nimeamua nikupuuze kwa kuwa hujuai ulisemalo na hauko tayari kujua.


16593764, member: 285158"]Hao kwa sasa hawana hoja.....wanafanya siasa maigizo....kama hawataki kuhudhuria vikao vya bunge heri wakae majumbani tutambue wawakilishi wetu hawapo bungeni.....kuliko kila siku kusikia habar za kutoka nje bunge...mara waje mask usoni....sisi watanzani tunazo akili za kutosha tunawasubiria majimboni mje na hizo mask baada ya maendelea na huku tunaona na tunasikia kinachoendelea huku[/QUOTE]
Hao kwa sasa hawana hoja.....wanafanya siasa maigizo....kama hawataki kuhudhuria vikao vya bunge heri wakae majumbani tutambue wawakilishi wetu hawapo bungeni.....kuliko kila siku kusikia habar za kutoka nje bunge...mara waje mask usoni....sisi watanzani tunazo akili za kutosha tunawasubiria majimboni mje na hizo mask baada ya maendelea na huku tunaona na tunasikia kinachoendelea huko
 
Cmm- "mbunge yeyote atakayeshindwa kukubaliana na bajeti hii arudishe kadi ya uanachama" wabunge wa cmm=225, wabunge wa upinzani=118. Maamuzi ya kupitisha bajeti au kuipinga ni ndioooooo na hapana. Hapa kwa akili yako ni wabunge wepi wataipitisha hiyo bajeti na ni wangapi wataipinga? Kwa hesabu za harakahara? Manake ccm wanapenda hesabu ila hawana historia ya kuijua hesabu yenyewe(wanapenda hesabu lakini hesabu haiwapendi). Kawadanganyeni maskini na wasiokua na elimu. Eti hatukuwatuma kwenda kutoka njee ya bunge, kwani walitumwa kwenda kugonga meza na kuitikia kila kitu ndiooo,? Wajinga na maskini ndiio mtaji wa ccm.
 
Mtabwabwaja hapa mwisho wa siku mtalala wachumia tumbo nyie. Wapinzani wakitoka inakuhusu nini[/QUOTE]




Tetea kwa hoja mkuu


Mkuu wewe nimeamua nikupuuze kwa kuwa hujuai ulisemalo na hauko taya


16593764, member: 285158"]Hao kwa sasa hawana hoja.....wanafanya siasa maigizo....kama hawataki kuhudhuria vikao vya bunge heri wakae majumbani tutambue wawakilishi wetu hawapo bungeni.....kuliko kila siku kusikia habar za kutoka nje bunge...mara waje mask usoni....sisi watanzani tunazo akili za kutosha tunawasubiria majimboni mje na hizo mask baada ya maendelea na huku tunaona na tunasikia kinachoendelea huku[/QUOTE]
Hao kwa sasa hawana hoja.....wanafanya siasa maigizo....kama hawataki kuhudhuria vikao vya bunge heri wakae majumbani tutambue wawakilishi wetu hawapo bungeni.....kuliko kila siku kusikia habar za kutoka nje bunge...mara waje mask usoni....sisi watanzani tunazo akili za kutosha tunawasubiria majimboni mje na hizo mask baada ya maendelea na huku tunaona na tunasikia kinachoendelea huko
mbatia kahamia lini CHADEMA halafu mbona zzk ndo yupo mstari wa mbele kupambana na ubakaji hu wa demokrasia au maharage ulokula jana yamepanda kichwani au umekosa cha kuandika ukaona uharishe tu
 
Kwa nini usingetumia muda wako kujadili bajeti iliyopitishwa na wabunge wote majuzi ili kuona matarajio ya wananchi yatafikiwa ama vipi? Kumjadili Dr Slaa anayekula bata ughaibuni kutasaidia kweli kupunguza bei ya sukari mkuu??
Pale unapoona mwana ccm anammiss mpinzani wake dr slaa....haiingii akilini kabisa.
 
Tufikirie kwa kina yanayoendelea sio kuwa na miemko isiyo na manufaa



QUOTE="Hijja Madava, post:

16593859, member: 226427"]mbatia kahamia lini CHADEMA halafu mbona zzk ndo yupo mstari wa mbele kupambana na ubakaji hu wa demokrasia au maharage ulokula jana yamepanda kichwani au umekosa cha kuandika ukaona uharishe tu[/QUOTE]
 
Wakuu

Nimekuwa nikifuatilia muenenendo mzima wa siasa nchini na nimebaini kuwa Viongozi wa upinzani wa kipindi hichi hususani CHADEMA, ipo haja ya kuwatathmini ama wao kujitathmini ni wapi wanapwaya.

Ukiangalia kwa umakini sababu iliyowatoa bungeni sidhani kama inaeleweka vizuri.

Kwa siku ya Jana tarehe 20/06/2016 nimejaribu kumsikiliza James Mbatia kwa kina labda ningeweza kubaini sababu hasa inayotufanya kuendelea kuyafanya haya tunayoyafanya.

Lakini pia najiuliza, hivi viongozi wetu wana "compare" kweli faida
na hasara ya hivyo vitendo vinavyoendelea kwa mustakabadhi wa chama na Taifa kwa Ujumla.


Swali langu ni je hivi Dk. Slaa au ZZK wangekuwepo katika uongozi tungelifikia hatua hii?
Tume ya uchaguzi ilione hili, majimbo ya waliogoma yapigwe mnada wa kisiasa na yawe declared kuwa wazi.

Wanachofanya ni disrespect to democracy in Tanzania.
 
Wakuu

Nimekuwa nikifuatilia muenenendo mzima wa siasa nchini na nimebaini kuwa Viongozi wa upinzani wa kipindi hichi hususani CHADEMA, ipo haja ya kuwatathmini ama wao kujitathmini ni wapi wanapwaya.

Ukiangalia kwa umakini sababu iliyowatoa bungeni sidhani kama inaeleweka vizuri.

Kwa siku ya Jana tarehe 20/06/2016 nimejaribu kumsikiliza James Mbatia kwa kina labda ningeweza kubaini sababu hasa inayotufanya kuendelea kuyafanya haya tunayoyafanya.

Lakini pia najiuliza, hivi viongozi wetu wana "compare" kweli faida
na hasara ya hivyo vitendo vinavyoendelea kwa mustakabadhi wa chama na Taifa kwa Ujumla.


Swali langu ni je hivi Dk. Slaa au ZZK wangekuwepo katika uongozi tungelifikia hatua hii?
Mkuu unamaanisha UKAWA walipotoka bungeni Zitto(MB) aliendelea kubaki bungeni?
Kama aliendelea kubaki huku akilazimishwa kuiunga mkono serikali hata mahali inapopaswa kukosolewa,
hiyo ni sababu tosha ya kutokuwa mwana UKAWA.
 
Wakuu

Nimekuwa nikifuatilia muenenendo mzima wa siasa nchini na nimebaini kuwa Viongozi wa upinzani wa kipindi hichi hususani CHADEMA, ipo haja ya kuwatathmini ama wao kujitathmini ni wapi wanapwaya.

Ukiangalia kwa umakini sababu iliyowatoa bungeni sidhani kama inaeleweka vizuri.

Kwa siku ya Jana tarehe 20/06/2016 nimejaribu kumsikiliza James Mbatia kwa kina labda ningeweza kubaini sababu hasa inayotufanya kuendelea kuyafanya haya tunayoyafanya.

Lakini pia najiuliza, hivi viongozi wetu wana "compare" kweli faida
na hasara ya hivyo vitendo vinavyoendelea kwa mustakabadhi wa chama na Taifa kwa Ujumla.


Swali langu ni je hivi Dk. Slaa au ZZK wangekuwepo katika uongozi tungelifikia hatua hii?
Mfuate slaa yupo anakula mihogo huko canada na mfuate zzk pale kijitonyama
 
Hao kwa sasa hawana hoja.....wanafanya siasa maigizo....kama hawataki kuhudhuria vikao vya bunge heri wakae majumbani tutambue wawakilishi wetu hawapo bungeni.....kuliko kila siku kusikia habar za kutoka nje bunge...mara waje mask usoni....sisi watanzani tunazo akili za kutosha tunawasubiria majimboni mje na hizo mask baada ya maendelea na huku tunaona na tunasikia kinachoendelea huko
Hoja kwako ni kuunga hoja mkono kwa 100%? Mtaisoma namba nyinyi magamba
 
Back
Top Bottom