Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,977
- 54,107
Mwambie I love you
Akiamua afanye kweli. Jamaa si itakula kwake[emoji32]Kama yeye ni mkurya msingizie anatembea na msela yoyote utakaemuona karibu nae halafu mgonge viboko haswa hapo lazima ataelewa how much you love her.
Ungekua karibu yangu leo ungekunywa bia sana. Yaani utadhani ulikua kichwani kwanguukipokea mshahara wote mkabidhi yeye, nyumbani kwako wajae ndugu zake tu, shida ikitokea kwao uwe wa kwanza kusaidia na Zaidi ya yote simu yako iwe kama yake lakini wewe ni marufuku kugusa ya kwake. Trust me u will be the best man ever na daima utaenziwa. Ila juwa jambo moja tu, hawa viumbe hawaridhiki na daima hawajui walitakalo.
Hata mvua ina msimuYap yap make money rain on her[emoji12]
mbebeshe mapacha mkuu!Kilasiku najiuliza swali hili jibu sijapata, nifanye nini mke wangu ajue nampenda?
Teh teh..Mpe maujuzi ya romantic date..Kama zile za kwenye mvuausifanye kitu
mfanye ajione
yeye ni zaidi ya kila kitu
HahahaTeh teh..Mpe maujuzi ya romantic date..Kama zile za kwenye mvua
Teh teh..Hapo bado hawajaja wapenda pesa kutoa ushauriHahaha
Na kuna mtu kamuambia
ajaze ndugu wa mke kwake
Hahah...ila huyu jamaa hawezi kua serious...unaanzaje kukosa cha kumfanyia mke?!Teh teh..Hapo bado hawajaja wapenda pesa kutoa ushauri
ukipokea mshahara wote mkabidhi yeye, nyumbani kwako wajae ndugu zake tu, shida ikitokea kwao uwe wa kwanza kusaidia na Zaidi ya yote simu yako iwe kama yake lakini wewe ni marufuku kugusa ya kwake. Trust me u will be the best man ever na daima utaenziwa. Ila juwa jambo moja tu, hawa viumbe hawaridhiki na daima hawajui walitakalo.
Hawa viumbe hawatabiriki ndugu. Unaweza ukampa dunia yote lakini akaenda kwa kapuku, unaweza ukamuenzi na kumuheshimu lakini akaishia kwa jitu babe na linalompiga. Kwa kifupi ukitaka kufurahia mwanamke ni yule anaekupenda wewe maana tofauti na hapo daima utakuwa mwendawazimuHuu ushauri utakufanya ugongewe siku sio nyingi aisee, mwanamke asipoona upendo ukiwa unamdekeza sana mpeleke kijeshi akili itamkaa sawa tu!
Wanawake ndo wanaongoza kutake love for grantedmhh, You know they say you don't know what you got until it's gone
Ili ajue kwamba unampenda jaribu kuacha kumfanyia kila kitu ambavyo unamfanyia sasa kumuonyesha unampenda, usimfanyie chochote kuwa kauzu tu
then baada ya muda ata realise kuna vitu nilikuwa nafanyiwa vizuri kumbee, kumbe alikuwa ananipendaa
then akisha realise hivyo unarudisha mahabat ya mwanzo, nadhani ataanza ku appreciate,
mimi nilishamfanyia mpenzi wangu hivi nikachukua risk nikasema either tuachane au ajitafakari upya na kuni appreciate ninavyomfanyia,
na alijuta akanipenda mara dufu
Mimi nilidhani wanaume ndio hutake love for granted kumbe hadi wanawake??
Teh teh..Inashangaza kwa kweli..Huyu jamaa atakuwa aidha hajiamini,ni mpole sana,ana aibu au sio muongeaji..So interaction na mke wake sio kubwa kitu kinachomfanya ashindwe kumsoma mkewe uzuriHahah...ila huyu jamaa hawezi kua serious...unaanzaje kukosa cha kumfanyia mke?!
mhh... that's arguableWanawake ndo wanaongoza kutake love for granted
umemaliza brooTeh teh..Inashangaza kwa kweli..Huyu jamaa atakuwa aidha hajiamini,ni mpole sana,ana aibu au sio muongeaji..So interaction na mke wake sio kubwa kitu kinachomfanya ashindwe kumsoma mkewe uzuri
umesahau na ampe na namba za michepuko yooote, ili awe anajua leo yuko kona ipi na kipusa kipi...Mali zako zote andikisha kwa jina lake, mpe passwords zako zote kuanzia kadi za bank na pia za mitandao yote uliyojiunga. Kama ni mwendaji bar hakikisha unaenda nae na mhimize ajiliwaze baa hata pale unapokua umesafiri. Mu-introduce kwa washkaji zako woote wa karibu na wape hao washkaji namba za simu za mkeo ili wawe wakimcheki kuhakikisha hana na hapati tatizo wakati wowote ule.