Kama Hard disk imekuwa kubwa au Ndogo Maana kuna vitu vitashindwa kukaa sawa kwa sababu ya ku update system
Alafu kuhusu swala la Kumtongoza tena changamoto iko kwenye vitu hivi
-Vocha ya simu ili uwe kila wakati unapiga simu na kutuma sms
-Lakini pia mazingira wakati huo alikuwa kwao lakini...
Kama kweli tabia iyo bado anaendelea nayo kwa Sheria ya kimaumbile na Imani ya Dini yangu angekuwa tayari kashaumbuliwa na Mungu, “ Karma never mis adress”.
Ila poleni na fanya ukaribu wa zaida kwa watoto wako wote na watoto wa nduguzo ila wawe friendly kwako au kwenu wayasema wasioweza...
Kweli leo nimeamini tuchunge sana either ndimi au vidole vyetu Yaani kwa hapa alikuvutia JF anakosa lugha sahihi juu yako ndio na Unamwambia yeye alikuwa sehemu ya wewe kujiunga bila shaka kuna Nondo sana kutoka kwake zilikufanya mpaka ukavutiwa nae ila safi Umemaliza vizuri sana kwamba Bado...
Bwana Daviie kwanza pole na sio kwamba watu hawayapitii unayopitia wewe NO. Wanapitia ila katika muktadha tofauti ila sijui katika haya nitakayo kushauri lipo litakalo leta maana kwako lakini kwa upande wangu baada ya kuyaona haya ya uyaonayo wewe leo kupitia JF nilitafuta namna nini nifanye...
“Udhaifu” sio tusi na kusema ukweli kwake nisehemu ya Imani yake
Udhaifu ni Sawa nakusema hali ya bwana yule inazidi kuwa dhaifu kadiri siku zinavyo zidi kwenda hujatusi bado unaelezea namna hali ya kitu au Mtu alivyo
[STRONGNESS/WEAKNESS]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.