Uchaguzi 2020 Vyama vya upinzani Tanzania kuweni makini na zoezi hili linaloendelea huko mitaani, hapa kuna wizi wa kura

jimama26

JF-Expert Member
Jul 30, 2013
2,731
2,798
Jamani kama video inavyojieleza, wakazi wa Mwananyamala wanakusanyana kwenye ofisi za serikali ya mtaa, wanapigwa picha na kulipwa shilingi 5,000 kila mmoja. Picha hazijulikani ni za nini. Na kwa siku wanalipwa hadi watu 100 mpaka 120. Hapa kuna mchezo wa uchaguzi wa 2020. Vyama vya upinzani viingilie kati / vihoji hili zoezi. Hao wapiga picha na Mwenyekiti wa mtaa wabanwe vizuri hizo picha ni za nini!! Haya si maandalizi ya kura fake haya jamani?!

Fatilia vizuri hii video mjionee tulikofikia sasa kama nchi.

 
Mkuu hivi kuna uchaguzi kweli ndani ya nchi yetu mwaka huu?au ndio tunazamisha vichwa vyetu kwenye mchanga?2020 hakuna uchaguzi inaelekea tumeshasahau hiki kioja cha serikali za mitaa !!
 
Acha wapigane picha nielekeze na mimi nikachukue buku tano. Bia mbili hizo na chakupima cha buku.
 
Sasa 'chombo cha habari' kinafika hadi eneo la tukio halafu kinaondoka bila ya kuwa na taarifa? Tukio lenyewe linafanyika katika ofisi ya serikali ya mitaa, wameshindwa hata kuwauliza viingozi kwenye hiyo ofusi? Wameshindwa hata kuwauliza hao wanaopiga picha?
 
Jamani kama video inavyojieleza, wakazi wa Mwananyamala wanakusanyana kwenye ofisi za serikali ya mtaa, wanapigwa picha na kulipwa shilingi 5,000 kila mmoja. Picha hazijulikani ni za nini. Na kwa siku wanalipwa hadi watu 100 mpaka 120. Hapa kuna mchezo wa uchaguzi wa 2020. Vyama vya upinzani viingilie kati / vihoji hili zoezi. Hao wapiga picha na Mwenyekiti wa mtaa wabanwe vizuri hizo picha ni za nini!! Haya si maandalizi ya kura fake haya jamani?!

Fatilia vizuri hii video mjionee tulikofikia sasa kama nchi.


IMG-20180405-WA0006.jpeg
 
Sasa 'chombo cha habari' kinafika hadi eneo la tukio halafu kinaondoka bila ya kuwa na taarifa? Tukio lenyewe linafanyika katika ofisi ya serikali ya mitaa, wameshindwa hata kuwauliza viingozi kwenye hiyo ofusi? Wameshindwa hata kuwauliza hao wanaopiga picha?
Kwani kila anayeweza kupata picha ni chombo cha habari? Huyo ni mtoa taarifa tu
 
Sasa 'chombo cha habari' kinafika hadi eneo la tukio halafu kinaondoka bila ya kuwa na taarifa? Tukio lenyewe linafanyika katika ofisi ya serikali ya mitaa, wameshindwa hata kuwauliza viingozi kwenye hiyo ofusi? Wameshindwa hata kuwauliza hao wanaopiga picha?
Nami pia nimejiuliza lakini nimegundua huyu si authorize journalist.
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuunga mkono ujinga wa ccm , wamo watu humo hawaungi mkono huo ujinga , wamo tu wanawachora , Masikini wakubwa nyie !

Tumepata taarifa kwamba mmepanga kumteka Gea Habib baada ya kufichua uchafu wenu , mtekeni tuone
unapata taaaaabuuuu utakonda bure hamia ccm huku ni furuuu shangwe tu hatuna presha utakufa bure
 
Back
Top Bottom