Hapo wala hamna tatizo..muda unatosha sana. Dakika 15 soma maswali yote..Dakika 10 chagua maswali rahisi.. baada ya hapo anza kujibu kwa spidi..pumzika dakik 5 endelea kujibu..dk 5 nyingine proof read
Kwa uzoefu nilionao ...ukiona maneno meeengi..jua point ni hafifu so inajaziwa jaziwa nakshi ili iwe na mashiko..next time kuwa na maneno machache kauongo kanaweza kuaminika
Kwa uzoefu nilio nao hapo waifu ana jamaa anamsubua na yeye yuko njia panda kuchepuka..sasa anataka akuonye ili akichepuka usije ukamlaumu..atasema si nilikwambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.