Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,950
- 134,021
Yanga wanachambuliwa kama karanga
Madame mbona una furaha hivyo,
mlikuwa hamjiamini kama mtashinda nini.
Hebu tuambieni dakika ya ngapi saa hizi, wenzenu hatuna amani huku.
Ova
Mifupa nayo itafunwe..... Nami nasema Itafunwe tu....zamani saaana jirani ! Imebaki mifupa tu!
Mifupa nayo itafunwe..... Nami nasema Itafunwe tu....
Hivi hawa wako wawili eh!! Mtu na kaka yake, yule aliyekuwa Gor Mahia ndo anayecheza au aliye bench??
Maximo must go
Hahahaaa na wakizinduka wanakuta magoli yao yako pale palee. ..
Kichaa kapewa rungu,Sserunkuma anaingia sasa
Ni yule aliye benchi mwenye rasta.
Goooooooooooooo!!( teh teh teh unazingua!!)