wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Ndoto ya ccm ni kuitawala tanzania milele yote jambo ambalo wanaamini linawezekana,ccm ni watu wa ajabu sana hawasomi alama za nyakati kuwa kwa sasa hawatakiwi kabisa na wananchi kwa vitendo vyao viovu,ila kwa akili zao ndogo watataka kulazimisha ushindi hata kama wameshindwa na ndipo hapo sasa vijana waliochoka na maisha wataanzisha vurugu,wamekata tamaa ya maisha,hawana ajira,wanakamatwa bila makosa na kuwekwa ndani huku wakibambikiwa kesi,
CCM imejisahau sana ikidhani kuwa watanzania wa leo ni walewale wa miaka 1980,wakijaribu kufanya hila yoyote hakuna atakayeweza kuvumilia kila lenye mwanzo lina mwisho,hakuna mgombea urais wa ccm kwa sasa mwenye mvuto na political charisma wa kusimama 2015 ili ashinde,lazima watachapia tu ktk kusimamisha mgombea urais,wanaoutaka urais ndiyo hao wanaounga mkono ufisadi kwa nguvu zao zote,ccm haitashinda 2015 kwa mantiki hiyo naona giza nene limeifunika tanzania ni mungu ndiye anajua hatma ya hili taifa.
CCM imejisahau sana ikidhani kuwa watanzania wa leo ni walewale wa miaka 1980,wakijaribu kufanya hila yoyote hakuna atakayeweza kuvumilia kila lenye mwanzo lina mwisho,hakuna mgombea urais wa ccm kwa sasa mwenye mvuto na political charisma wa kusimama 2015 ili ashinde,lazima watachapia tu ktk kusimamisha mgombea urais,wanaoutaka urais ndiyo hao wanaounga mkono ufisadi kwa nguvu zao zote,ccm haitashinda 2015 kwa mantiki hiyo naona giza nene limeifunika tanzania ni mungu ndiye anajua hatma ya hili taifa.