Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Pasco, kwa nini umeiedit hiyo picha? Weka kama ilivyochukuliwa na michuzi blog
View attachment 209526
Michuzi blog peke yake ndio inamiliki kamera?
Pasco, kwa nini umeiedit hiyo picha? Weka kama ilivyochukuliwa na michuzi blog
View attachment 209526
Hiyo picha ni ya jana kwenye sherehe za Uhuru wa Tanganyika. Kilichopo hapo Lowassa kasimama mstari wa pili yaani nyuma; dili lililofanyika hapo ni kuhakikisha kikwete anaacha mwanya wa kutosha ubavuni mwake na Mwamnyange ili mkakati wao ukamilike. Ndipo mpiga picha akaichukua usawa wa nyuzi 45 ili aonekane wako pamoja kama mtaji wa kuwachanganya wananchi kisiasa kwamba ndiye aliyeandaliwa 2015. Huu upuuzi hauvumiliki na ukomeshwe mara moja.
Mkuu hii picha imepigwa lini?Kama ni ya leo Basi Rais wetu amesoma alama za Nyakati.
Bila shaka hii picha itakupa majibu ya maswali uliyo kua nayo kichwani mwako.....yetu macho na masikio kuelekea octoba 2015.
Mkuu hii picha imepigwa lini?Kama ni ya leo Basi Rais wetu amesoma alama za Nyakati.
Mbona inaonekana mstari wa Mbele mkuu wa majeshi kufuatiwa na Raisi, halafu Raisi wa Znz , Halafu Mke wa Raisi , nyuma Yao Ndio anaonekana Lowassa na wengineo
Alikuwa safu ya nyuma ya JK,tena usawa wa mtu wa tatu toka kwa JK kwa maana nyingine wala hakuwa nyuma hata ya Mkuu wa majeshi.....hapo kati palikuwa na nafasi ilimfanya EL aonekane kama yupo karibusana.EL yupo safu ya nyuma na sio mbele alipo Rais.
Kuna siku kila mbuzi atakula usawa wa kamba yake na kila mtu atakula alicho panda ccm wote ni wezi na mafisadi waliyo pindukia amna aliye msafi ndani ya ccm wote weziMnatengeneza picha ili kutuhamasisha siyo! Lindeni heshima zenu hii nchi siyo ya kihunihuni pelekeni huyo Fisadi wenu hukohuko acheni Tanzania apate kiongozi safi na muadilifu. Lowasa hasafoshiki pesa kitu gani bana mxx!
Akina Mnyika mbowe na Zito walivuta kote kote pande zote yaani walivuta za Mhongo na za Mengi kisha wakazuga kukomaa, vipi hapo kwenye Uchunguzi watafika kwao?Tushije kushangaa pia JK akatufanyia surprise ya mwaka, pale atakapomteua mzee wa mamvi kuwa PM mpya, akimreplace mzee wa kutoa machozi!
Ukifuatilia kauli ya Sefue kuwa ripoti ya maazimio ya bunge wameipokea Ikulu, hata hivyo vyombo vya uchunguzi vinaendelea kuchunguza 'deeper'9ili ikibidi kuwaclear baadhi ya watuhumiwa na kuwatumbukiza ndani ya hiyo skandali, wengineo ambao hawakuguswa na maazimio yale manane ya bunge!
Siku 7 zijazo zinaweza kuleta kishindo kikubwa sana cha kisiasa hapa nchini!
Hii picha ilipigwa enzi Lowassa akiwa PM? Maana sielewi elewi hivi!