Halafu cha kushangaza zaidi::
Mimi huwa nashindwa kuelewa nimeona watu wana vitambulisho vya Standard chartered, Crdb, NBC, na makampuni makubwa makubwa nao wame apply kazi. Sasa hivi ni tamaa ya kutaka kufanya kazi Nssf au? Mtu unafanya kazi unalipwa vizuri mfano " standard chartered wanalipwa si pungufu ya laki nane take home" yanini kuja kutuzibia nafasi tusio na ajira kabisa?
Huu ni ulimbukeni na tamaa tu!!
I hate those who came from reputable companies like standard chartered, crdb, to apply for our position..
real inauma sana....wadau.
Anapoamua kuwasaidia anawasaidia kwa muda gani? Sekunde moja, dakika moja, nusu saa, saa moja au? Swali lilikuwa kwa kiswahili au kiingereza? Huenda na wewe hata swali hukulielewa (hasa kama lilikuwa kwa kiingereza)Mfano wa swali moja lijibiwe ndani ya dakika 1.
Kampuni ina wafanyakazi watatu A, B, na C kila mmoja anaweza kumaliza kazi kwa masaa 30, 40, 60 respectively. Ikiwa C ataamua kuwasaidia A na B kila baada ya masaa matatu kazi hiyo kwa pamoja wataimaliza kwa masaa mangapi.
Sidhani swali kama hili unaweza kulijibu ndani ya dakika moja.
Anapoamua kuwasaidia anawasaidia kwa muda gani? Sekunde moja, dakika moja, nusu saa, saa moja au? Swali lilikuwa kwa kiswahili au kiingereza? Huenda na wewe hata swali hukulielewa (hasa kama lilikuwa kwa kiingereza)
Sorry, anawasaidia kila baada ya masaa matatu kwa muda wa masaa matatu kila wakati.Anapoamua kuwasaidia anawasaidia kwa muda gani? Sekunde moja, dakika moja, nusu saa, saa moja au? Swali lilikuwa kwa kiswahili au kiingereza? Huenda na wewe hata swali hukulielewa (hasa kama lilikuwa kwa kiingereza)
Kulikuwa na maswali ya hesabu za mafumbo u formulate equation mwenyewe, sijui unaweza ku formulate equation baadae ufanye hesabu ndani ya dakika 1.
Mfano wa swali moja lijibiwe ndani ya dakika 1.
Kampuni ina wafanyakazi watatu A, B, na C kila mmoja anaweza kumaliza kazi kwa masaa 30, 40, 60 respectively. Ikiwa C ataamua kuwasaidia A na B kila baada ya masaa matatu kila baada ya masaa matatu, kazi hiyo kwa pamoja wataimaliza kwa masaa mangapi.
Sidhani swali kama hili unaweza kulijibu ndani ya dakika moja.
mkuu, kwavile C anatoa msaada kila baada ya 3hrs kwa muda wa 3hrs, then katika 6hrs, kiwango cha kazi kitachokamilika ni 1/30*6+1/40*6+1/60*3=2/5. Kwahiyo, 4/5 ya kazi itakamilika in 6+6=12hrs.A na B ktk 3hrs wanakamilisha 7/40 ya kazi(inakua imebakia 1/40 kukamilisha kazi). A,B na C (C akianza kusaidia) wanakamilisha 9/40 ya kazi ktk 3hrs kwa pamoja , kwahiyo, 1/40 ya kazi iliyobakia itakamilika ktk 3*1/40*40/9= 20minutes. Jumla ya masaa ni 6+6+3+20mints=15hrs20mints. Swali linajibika ndani ya dakika moja.
mkuu, kwavile C anatoa msaada kila baada ya 3hrs kwa muda wa 3hrs, then katika 6hrs, kiwango cha kazi kitachokamilika ni 1/30*6+1/40*6+1/60*3=2/5. Kwahiyo, 4/5 ya kazi itakamilika in 6+6=12hrs.A na B ktk 3hrs wanakamilisha 7/40 ya kazi(inakua imebakia 1/40 kukamilisha kazi). A,B na C (C akianza kusaidia) wanakamilisha 9/40 ya kazi ktk 3hrs kwa pamoja , kwahiyo, 1/40 ya kazi iliyobakia itakamilika ktk 3*1/40*40/9= 20minutes. Jumla ya masaa ni 6+6+3+20mints=15hrs20mints. Swali linajibika ndani ya dakika moja.
Nyour genius I salute u....mleta ana matatizo kufikiri...
Weka swali moja/mawili tuone set up yake ilikuwaje. yalikuwa open ended au closed
Ombi la Msingi kabisa hilo kiongozi! Isije ikawa mtu ana kichwa kizito tu sisi tukaanza kuwashambulia nssf! Maana hizi shule za Kata zimezoea kukariri, hawawezi ile kitu ya kutumia ubongo! Aweke hapa maswali ili tuchangie vizuri!!
Nitajie wewe dini gani ni kuambie kama kuna uwezekano wa wewe kushinda au umeshashindwa.
sio kitucha ajabuKwa kweli unatakiwa kuwa na supersonic speed ya ubongo sehemu ya kufikiri ili uweze kumaliza aptitude test hiyo vinginevyo lazima uwe umeyaona maswali kabla.
Nilikuwa mmoja wa waliobahatika kuitwa kwenye written interview ya Operations Officer, interview iliyofanyika leo IFM.
Lakini moja ya maajabu niliyokutana nayo ni kupewa maswali 100 yanayotakiwa kujibiwa ndani ya dakika 135.
Kwa maana hiyo ili kupata alama zote(100%) inatakiwa kila swali lijibiwe sahihi ndani ya dakika 1 na sekunde 21 tu. Sijui waandaaji wa hayo maswali walitumia kigezo gani kupima kiasi kwamba mtahiniwa anaweza kupata muda wa kusoma swali, kulielewa na kutoa uamuzi ndani ya hiyo dakika moja.
Kama huu sio usanii basi ni kukomoana.