Ebana sserunkuma..ni jina linalotajwa mara nyingi bila sabab
Nalog off wadau.
rudisha mawazo mchezoni huko siko!
Ngapi ngapi? Maana wengine tunasubiri kipyenga cha mwisho tuondoke
Jamani Yanga zimebaki dakika 2,tunataka raha sasa
Akanana Munkari olio? Simba ina shinda 2 Leo!
hahahahah kitenge anawaambia mashabiki wa yanga wameganda kama wamekunywa gundi
Haaah,haah Mods Yanga wapigwe ban wanaleta mambo ya kitoto kukimbiahahahahah kitenge anawaambia mashabiki wa yanga wameganda kama wamekunywa gundi
Muungwana mmoja awe anajitolea kutaja dakika zilizokatika hadi muda huu.
Ova
Kuna mtangazaji mmoja Wa hii TBC1 ananikela ni mnazi Wa Yanga yaani mpaka kero