Recent content by Lipu

  1. Lipu

    Mapinduzi ya Uturuki iwe funzo kwa Tanzania

    Punguza ukali wa maneno mkuu hii ndio jf uwe mvumilivu
  2. Lipu

    Mapinduzi ya Uturuki iwe funzo kwa Tanzania

    Kweli hizi sheria ni shida sana
  3. Lipu

    Kuhusu Kujiunga Jeshi la Polisi 2016

    Polisi walikua 3000 hao wengine ni uhamiaji na bajeti ya mwaka huu inahitaji askari polisi 3700
  4. Lipu

    Kuhusu Kujiunga Jeshi la Polisi 2016

    Hao vijana wa jkt wapo tayari kutemwa kuliko kwenda polisi na ukisema professional zote huko zipo sio kweli kwa hao OPP KIKWETE labda OPP zijazo
  5. Lipu

    Kuhusu Kujiunga Jeshi la Polisi 2016

    Acha habari zako hizo wee zungumzia habari za jkt
  6. Lipu

    Kuhusu Kujiunga Jeshi la Polisi 2016

    Vuta subira kijana nafasi zipo na zitatoka ila kwa sasa kuna mambo yanawekwa sawa wazi
  7. Lipu

    Lissu anyimwa Dhamana, kupelekwa mahakamani kesho

    Huyo polisi kawazoea sio mara yake ya kwanza kukaa mahabusu wangempeleka na segerea ili akajifunze watu wanavyoishi kule ndani
  8. Lipu

    Hivi maisha yanawafanyaga nini wadada mpaka mvuto unapotea?

    Maisha yanawapiga mara nyingi ukiwa shule unahudumiwa kila kitu ila ukiwa nyumbani huduma zinapungua au kunakuwa hakuna huduma kabisa na kuanza kujitegemea
  9. Lipu

    Ushauri between HGL ama C.O

    Nenda CO kijana usiende advance
  10. Lipu

    Nimetishwa na Kauli ya Magufuli, Kauli Iliyotanguliwa na Udictator wa Ajabu wa Kutumia Polisi.

    POLE sana jitahidi uwe msomaji bila kukomenti
  11. Lipu

    Nimetishwa na Kauli ya Magufuli, Kauli Iliyotanguliwa na Udictator wa Ajabu wa Kutumia Polisi.

    Mkuu ukute yeye anachochea watu ili waropoke then washikwe hapa wanatafutwa wachangiaji
  12. Lipu

    Naomba kujua faida na hasara za kuajiriwa na jeshi kwa wahitimu wa vyuo

    Kazi za jeshi ni za kujitolea sio masilahi mkuu kule ni uzalendo zaidi and nothing else
Back
Top Bottom