Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,082
- 6,421
Jeshi la polisi wamesimamisha ajira mpaka hapo watakapotangaza tena, may be 2-3 yrs to comeNaona wameshamaliza nafasi za mwaka huu watatoa lini.!Mkuu msaada
Usiseme nakuchuria mkuu ukweli ndio huo
Jeshi la polisi wamesimamisha ajira mpaka hapo watakapotangaza tena, may be 2-3 yrs to comeNaona wameshamaliza nafasi za mwaka huu watatoa lini.!Mkuu msaada
Mkuu kuwa mvumilivu somo la uvumilivu hilohalafu kama huna lakumjibu mtu nibora kukaa kimya embu tujaribuni kuasiriasi ww undhani y hii forum ilianzishwa? watu wangine wanakua kama wase............
Kama kweli ndio hivyo itabididi tu kukubaliana na hali halisi so kama itatokea updates zozote kuhusu hizo nafasi usisite kutujulisha mkuu.Jeshi la polisi wamesimamisha ajira mpaka hapo watakapotangaza tena, may be 2-3 yrs to come
Usiseme nakuchuria mkuu ukweli ndio huo
Kukitokea updates zozote mkuu usisite kutujulishaHuo ndoo ukweli madogo waliomaliza juzi ni wengi mno
Watu walianza kutapeliwa na makanjanja ni vizuri walivyosema wamesitisha ajira ili ukipigwa hela basi ukose kwa kulalamikiaNasikia sikia tu kua jamaa wameamua kufanya yao kuhakikisha hakuna janja janja ya ajira kwa ngazi zooote Tanzania....
hivyo tukue na subira kidogo
Asante bro kwakutupa mahope ya kuendelea kusubiriHamna anayefahamu nini kinaendelea,,ila kutokana na malengo ya jeshi kusitisha ajira ni uongo ,kuna malengo ma 3 still yanatekelezwa hayo ni community policing,professionalism, na modernization via technology na mbinu mpya e.t.c...ili haya yafanyike still wataalamu wa community policing kama watu waliosomea law enforcement na sociology wanahitajika, kwa zama za technology na vita baina ya cybercrimes watu wa IT, forensic still wanahitajika...ukisema jeshi litajiendeleza kwa wafanyakazi waliopo..wakufunzi wa polisi waliobobea kwenye haya mambo sio wakutosha kuendana na kasi ya mabadiliko haya...mpaka hawa maproffessionals watakapopatikana polisi wanaweza kusema kua wanahitaji namba ndogo ya polisi maana watakua na backup ya surveillance technology na community police....so kuwa raia mwema, jiandae mtaenda tu.
sure, lakin ndo ivo tena...mambo yatakua mazuri vijana....Watu walianza kutapeliwa na makanjanja ni vizuri walivyosema wamesitisha ajira ili ukipigwa hela basi ukose kwa kulalamikia
Vuta subira kijana nafasi zipo na zitatoka ila kwa sasa kuna mambo yanawekwa sawa waziNaona wameshamaliza nafasi za mwaka huu watatoa lini.!Mkuu msaada
Acha habari zako hizo wee zungumzia habari za jktmwaka huu hatutoi
Hao vijana wa jkt wapo tayari kutemwa kuliko kwenda polisi na ukisema professional zote huko zipo sio kweli kwa hao OPP KIKWETE labda OPP zijazohakuna ajira mwaka huu jaribu mwakani na hatuchukui uraia jkt kuna proffesional zote sasa hivi
Polisi walikua 3000 hao wengine ni uhamiaji na bajeti ya mwaka huu inahitaji askari polisi 3700reeeh ongea hivyo tambua kuwa polisi waliomaliza kozi juu walikuwa elfu tatu na mia tisa na saba ambao ni wengi sana sawa na depo mbili za ccp zilizofanyika nyuma
Waziii AFANDE!!!,Thanks bro for the information.Vuta subira kijana nafasi zipo na zitatoka ila kwa sasa kuna mambo yanawekwa sawa wazi
kuna point hapa ya msingi..Ukweli ni kuwa ajira zimesitishwa kwa muda 2-3yrs, kuna mabadiliko yanatakiwa kufanyika kabla ya kuajiri askari wengine- kwa sasa mambo yapo vuruvuru haijulikani nani std7 nani graduate, statistics hazijakaa poa, promotion, mabadiliko ya vitengo kuongeza ufanisi, n.k
Mdau anayesema wataajiri soon ni muongo typical, eti "wanahitaji wataalamu", police force tayari wana pro hata kama si wa kutosha lakini bado hawajatumika effectively, mabadiliko yanafanywa kuwaweka wataalamu hawa kwenye vitengo husika kabla ya kufikiria kuajiri askari wengine. Acheni kuwadanganya madogo bali waambieni wafanye kazi zingine huku wakiendelea kusubiri.