Muwe mnatembea na maeneo mengine ya nchi sio kukaa ndani tu kama utumbo mala kashai kibeta kitendaguro kahororo.ihungo nyakanyasi ghana sasa miji mingine mtaijuaje?
Yaani yanga ina watu wajinga aisee!!! Kha!! Kwanza mngejifunza jinsi simba ilivyo waaga wachezeji wao bwalya na wawa hilo tu tosha kuwaonesha kuwa simba ni timu ya aina gani kule kwenye nani zaidi mmepigwa vibaya mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.