Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,004
- 7,757
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.
Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.
Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.
Poleni,
life is hard, byee.
Na hakika mnadanganywa.
Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.
Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.
Poleni,
life is hard, byee.