Recent content by LimaAlfa

  1. LimaAlfa

    Meno yananiuma sana, naomba msaada

    Piga namba 0712039004 atakusaidia kumaliza tatizo lako.
  2. LimaAlfa

    Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

    Kweli ndugu we ni Great Thinker! We ni asset hapa Jf.
  3. LimaAlfa

    Hellow, nikaribisheni

    Karibu ndugu, sukuma tu, mlango upo wazi!
  4. LimaAlfa

    Je, Waziri Mkuu Majaliwa anajuwa kiingereza?

    Tanzania haijawahi kuwa koloni la Muingereza. Sisi tulitakiwa tuongee Kijerumani
  5. LimaAlfa

    Tulidanganywa kutakuwa na mabasi yanayoenda Kasi

    Hatukudanganywa ila neno lililotumika kutafsiri BRT lilikosewa na wanaojiita wasomi huko ofisini! Rapid Bus Transport ni usafiri wa basi ziendazo haraka na si ziendazo kasi! Haya ni matokeo ya kuajiri vihiyo hadi upotoshaji unajitokeza na ofisa mwenye dhamana yupo tu. JPM hebu fanya suprise...
  6. LimaAlfa

    Minenguo na tangazo la gesi vinaendana?

    Wanjamii, salaam. Nashuhudia minenguo ya matangazo mengi ya biashara hasa kwenye haya magari matangazo hapa mkabala na barabara ya Moro hapa magomeni. Kinachoniacha sinto ni minenguo kutohusika na hisia ya mlengwa wa bidhaa tajwa! Gesi yauzwa, lakini fulani akata mauno ili ununue!? Tuwe...
  7. LimaAlfa

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    Mleta uzi upo sahihi. Hawa vijana ni matokeo ya elimu ya shule na malezi ya wazazi. Mtu utamjua tu pale anapoongea. Kama shule na nyumbani hakupata mafunzo stahiki, usitegemee content kwenye mazungumzo yake. Wazazi hawana muda kuketi na watoto hata dining table; hawaoni constructive dialogue...
  8. LimaAlfa

    Kwanini uteseke wakati maisha ni matamu sana.....!!!

    Mkuu upo sawa. Hii kesho inafanya watu waishi kwa hofu tu. Tajiri na masikini huwa na hofu ya kesho. Lkn dini zote zinakataza kuchungulia kesho kwa ramli nk. Tuna hofu ya kesho lkn ramli twakatazwa. Basi tule/tufanye leo kile roho inapenda, kwani kesho hatujui itakuwaje. Akiba ni ajili ya watoto...
  9. LimaAlfa

    Bilioni 4/-zaokolewa kwa kuzuia safari za ndani

    Waruhusiwe Auditors na Inspectors kutoka Hq. Haileti mantiki mtumishi wa halmashauri kwenda mkoa mwingine, anafuata nini? TEHAMA na courier servive vitumike unless ni suala nyeti.
  10. LimaAlfa

    Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena

    Uzinzi ni warrant tosha ya talaka kwa dini zote. Iwapo utatubu kwa mumeo na akakubali muendelee, ujue heshima na upendo hautarudi kama mwanzo. Ukae ukijua ni lazima ata revenge hata kwa hg mpya. Utapata blackmailer mpya ambae ni hubby wako. Kwani hutoweza fanya lolote ukumkuta red handed...
  11. LimaAlfa

    Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

    Mkuu, ubarikiwe sana.
  12. LimaAlfa

    Tutaje Majumba ya Watumbuliwa

    WanaJF, Wakati sasa umefika tuweke hadharani mali za haya majipu ambazo UNA HAKIKA ndimo kodi zetu zilimofukiwa. Wewe unawajua kwani unayaona makeke na majigambo yao mtaani hata bar. Wamjua elimu yake na muda wake kazini ambao hauendani na mali alonazo. Kwa kufanya hivyo tutakuwa...
  13. LimaAlfa

    Dr. Kimei: Hatua ya Serikali kuhamishia akaunti zake BoT, itasaidia kupunguza mfumuko wa bei

    Hizo fedha zilikuwa zinachangia tzs kuporomoka kwani hizo benki zilinunua forex na kuziuza baada ya supply kuwa ndogo. Ni mchezo wa speculators ambao wanatajirikia forex fluctuations. Faida ya mchezo huu ni kubwa kuliko riba wanatozazo. Serikali ilikuwa haipati impact kwani exchange rate...
  14. LimaAlfa

    Profesa Maghembe, Sasa imetosha tuwape wanyama silaha wajilinde wenyewe

    Wafuge na kuzalisha mbwa mwitu wingi kwani ni askari wazuri.
Back
Top Bottom