Recent content by Lily6

  1. L

    Rais Magufuli ahudhuria ibada ya Pasaka kanisa la KKKT

    Ni furaha kuona Mkuu wa nchi anamkumbuka Mungu Mungu akubariki JPM pamoja na familia yako!
  2. L

    Wanawake jinsi wasivyokuwa waaminifu...

    We bb glory sio wanawake wote kuna wanawake watulivu mpaka mwenyewe utapenda! mbona wanaume nao wapo wengine wasumbufu ndio maana wanasema ndoa ni uvumilivu! unapoingia kwny taasisi hyo lazima ujipange sawasawa.
  3. L

    Wanawake jinsi wasivyokuwa waaminifu...

    Aisee ktk story zote hii imenisikitisha! ombi kwa wanawake wenzangu mliobahatika kupata mwanaume kama Franco tulieni jamani, msiwaumize wenzenu inauma sana, majaribu yapo lkn mengine tunajitafutia ukiona company uliyonayo inakupotosha achana nayo marafiki wa cku hiz xo wazuri mume anakupa kila...
  4. L

    Wanaume ni majipu

    Lkn enzi za mfalme suleiman hakukua na magonjwa kama ilivyo kwa sasa kwa hyo lazima tuwe waangalifu kwa hilo na wanaume mna risk kubwa coz kadri cku zinavyoenda wanawake wazuri wanazaliwa sasa cjui mtafanyaje na hizo tamaa zenu!
  5. L

    Wafanyakazi wa hospital ya Butimba Nyamagana wagoma

    Jamani ushahidi si upo wazi? kwani mama aliyepoteza watoto mapacha si yupo? na ameeleza yy mwenyewe kitendo alichofanyiwa na hao madactari na manesi kwa hyo hao wafanyakazi wa hyo hospitali wanafagilia ujinga uliofanywa na wenzao natamani Rais aungilie kati afute kazi watumishi wote wa hospitali...
  6. L

    Katibu CWT: Ndalichako anapaswa ashitakiwe haraka

    Ni ukweli usiopingika waziri amekurupuka coz hayo mabadiliko ameyafanya wakati mtihani umeshafanyika, kweli mfumo wa GPA ulikuwa sio mzuri lkn angefanya mabadiliko hyo may be mwakani hicho alichokifanya ni uonezi kwa wahitimu mm naona katibu wa cwt yuko sahihi ameharibu mwelekeo haya matokeo ni...
  7. L

    Jipu la madaktari wa kigeni Aghakan

    Yani madactari na manesi wa cku hizi ni shedaa tupu! tena wanajisifia hadharani kabisaa utackia wanasema aje Magufuli awasaidie, ni majipu yaloiva!
  8. L

    Nguvu ya bikra katika mapenzi

    Mtoa maada xo kosa lako ni kosa la ulimbukeni waliozoea kuzitoa hizo bikra wapo kimya wametulia limbukeni hana siri sasa fanya research utaona ni wachache mabikra wanaodumu kwenye ndoa kuliko hao unaowata manung'ayembe! pole yako.
  9. L

    Kujiunga Chuo baada ya kumaliza Kidato cha Nne

    Rafiki yangu ana 4 ya 29 anaweza kujiunga na chuo gani?
  10. L

    TAMAA SIYO UPENDO

    Cku hizi ni full upendo wa kuigiza, watu wanapenda kwa sababu teh teh teh!
  11. L

    NECTA mnawaonea watoto

    Maisha ni safari ndefu wanajf jaribuni kutoa ushauri mzuri, wengine mnakatisha tamaa wenzenu kabisa, ukipata D sio kwamba umefeli hyo ni pass ndio maana hata necta wanaandika ''pass" labda f ndio fail, coz f haiwezi kukupeleka popote but D ukiwa nazo nyingi unaweza kusomea course yoyote cha...
Back
Top Bottom