Achelewi kuja kutuchamba kwamba watanzania tunapenda miziki ya kijinga kama alivyotuambia tunapenda udaku wakati yeye ndo mpiga simu maarufu na kusifia[emoji849][emoji849][emoji849]
Tengeneza passport, tafuta watu wanaotengeneza visa.....na kumbuka hadi upate visa na kusafiri gharama yake sio chini ya million sita tzsh. Na viza ya kuja Sweden moja moja ni ngumu kupata. Inabidi upitie nchi nyingine kama France, Spain nk, ukifika kwenye hizo nchi ni rahisi kuingia Sweden[emoji4]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.