Jamani hii mifuko ya huduma kwa watumishi inakera sana hasa huu wa bima,unakwenda kutibiwa unaambiwa dawa zimekwisha huende ukanunue kwenye maduka ya dawa lakini kila mwezi nachangia.kwa kweli kama kuna mbinu za kujinasua mimi nitakuwa wa kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.