CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,178
- Thread starter
- #21
hivi kwani kila thread lazima uchangie? nimeuliza kwa wema tu lakini nashangaa nashushuliwa eti mvivu! sasa chuo nilienda ili iweje kumbe nina uwezo wa kujiajiri! me naona bora ukae kimya hujui naishije muda huu had naulizia ajira ujue hali tete! watu hatuko sawa SOMEONE'S TRASH IS ANOTHER MAN'S TREASURE