Kwanini vitanda haviwekwi katikati kwenye chumba?

Kwanini vitanda haviwekwi katikati kwenye chumba?

Najiuliza sana hii kitu ni mila,mazoea,au ni utaratibu tu wa jamii husika kuto weka kitanda katikati ya chumba.

tuekimishane wakuu.

Utata tu huo Jibaba.
Acha uoga.
Uswahilini kuna imani tofauti sana.
Huku kwetu ushuani Tandale tunawekaga tu katikati.
Wala sio inshu
 
kuna wanoota ndoto usiku...kikiwa katikati waweza anguka
 
mbona cha kwangu kipo katikati kasoro upande wa kichwa? au mnazungumzia vitanda vya wapi?

RF15_596090616_3000

Ina maana unaishi hotelini. Hata aina yenyewe ya kutandika inaonyesha ni hotel ya nyota ngapi.
 
Utata tu huo Jibaba.
Acha uoga.
Uswahilini kuna imani tofauti sana.
Huku kwetu ushuani Tandale tunawekaga tu katikati.
Wala sio inshu

teh teh tangu diamond apande chati na tandale nayo iko juu siku hizi kunaitwa ushuani.
 
Kwa nini mwanandani wa kaburini unachimbwa pembeni?
Najiuliza sana hii kitu ni mila,mazoea,au ni utaratibu tu wa jamii husika kuto weka kitanda katikati ya chumba.

tuekimishane wakuu.
 
Mimi nafikiri kupunguza kuanguka vitandani
 
Ina maana unaishi hotelini. Hata aina yenyewe ya kutandika inaonyesha ni hotel ya nyota ngapi.

hapo ni chumbani kwangu nyumbani, unaweza ukapafanya kwako pakawa kama hotelini vile vile. ni uamuzi tu. tatizo watu wengi wamezoea kulala vyumba vimejazana makorokoro kibao....hata ma-hotelini wanaotandika na kupanga ni binadamu, sasa kwa nini wewe ushindwe!
 
Back
Top Bottom