Recent content by lidobi

  1. lidobi

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kimalumalu na ikibinda nkoi- Diamond sound jamani...!!
  2. lidobi

    Hongera Rais kwa hili la kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo nakuunga mkono 100%

    Tatizo ni kwamba hii mikataba ni ya siri siri. Sasa watz wanaumbuka. Walikuwa hawajui tangu wamesaini?
  3. lidobi

    Makonda: Mchaga kusaidia walemavu na yatima ni jambo gumu sana

    Wachaga huwa wakisaidia hawatangazi. Elewa hilo.
  4. lidobi

    Kanisa kemeeni Uvunjifu wa Haki, Msipo badilika Makanisa yatabaki Magofu

    Nitakuwa mjumbe wako pia kupaza hii sauti.
  5. lidobi

    Mabasi haya mnayakumbuka?

    Kuna lile basi injini ya BEDFORD lile...
  6. lidobi

    TCRA wanatudanganya?

    NI KWELI KABISA. Whatsapp hawawezi!
  7. lidobi

    Demu wangu ameniudhi, Namwacha leo hii

    Mpe uhuru wake. Asije kukuua
  8. lidobi

    Fahamu athari ya jina lako katika mapenzi

    Tumieni akili zenu kwenye mambo mengine muhimu. Sio haya...
  9. lidobi

    Kangi Lugola mbona kanywea sana siku hizi?

    Nguvu ya soda tu. Tunawajua hawa..
  10. lidobi

    Makonda atoa masharti kupokea ndege ya Serikali

    Sasa nimeamini shule inasaidia... Elimu kweli ni ufunguo
Back
Top Bottom