Nakupongeza sanaa umetoa elimu nzur sanaa nataman huu ujumbe uwafikie madereva Wengi sanaa iwezekanavyo kama nilivyopata mm[emoji120][emoji120][emoji120]
Swala la elimu ndugu sio lazma uwe mnufaika m
Maswala ya kuambiwa elimu bure sio kila kitu kitapatikana kama mnavyoaminishwa na sera za majukwaani kuna mambo mengne inahitaji kuunga mkono pale inapobidi na mikakati mingi inalenga watoto wapate elimu bora na ndio maana shule nyingi wazazi...
Jamani iv madiwani wanapokea lini viinua mgongo vyao yaani kuna muheshimiwa nilimuuzia gari angu hajamaliza pesa yangu. Nazan wakati ndo sasa ili amalizie mwenye kujua anijuze[emoji28][emoji28]
Acha kulialia iv toka lini elimu ikawa bure ukiambiwa bure changanya na zako maisha ya elimu ni gharama afu usipende pende vya bure huwa havina kiwango...
Saiv naona mabalaza mengi ya madiwani yameanza kuvunjwa inamaaana na viinua bongo vyao wameshapewa au wanasubiri bunge limalizike naomba kujua hilo kwa mwenye uelewa..
Sawa umetoa ujumbe ambao naimani kila atakae soma uzi huu kuna jambo lakujifunza kuna familia nyingi ambazo zinayaishi hayo uliyoyaeleza pasipo kujua miaka ya mbeleni tunaharibu hiki kizazi.
NI KWEL UMEIELEZEA VIZURI SANAAA IRINGA
KIKUBWA CHA KUJIVUNIA WATU WA IRINGA NI WAKARIMU SANAA NA WANAJARI WATU WA MAKABILA MENGINE.
Nitumie fursa hii kuwakaribiasha sanaa hamtojutia
Ni sehemu nzuri kwa watu wanaopenda utulivu [emoji119][emoji119][emoji119]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.