Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Suarez alikuwa anapatikana kwa hela ndogo sana ulivyomtaja Laca nikamkumbuka Suarez,ila kwa Laca hainishangazi hajawah kuwa na kiwango bora tangia aje Arsenal ni mbahatishaji kiwango alikiachaga Lyon kama Pepe alivyokiacha Lille
Sahihi
 
Haya arsenyeto leo mnaenda kwa mme wenu kugongwa tena 3 kama kawaida yenu nyie
 
Wakuu nilipata kuangalia Replay yote ya mechi yetu against Liver, kwa maoni yangu mambo machache ya kurekebisha ni haya:

1. Willian hakuwa/hana pace ya kucope na Robertson, muda mwingi alikuwa anachelewa kumkaba na ndio maana alileta madhara sana.

2. Auba pia anatakiwa kumkaba right full back (Arnold) lkn naye anaishia kati ya uwanja ili apokee counter tukigain possession, hivyo Xhaka humpokea hilo jukumu kwenye half yetu naye muda mwingi alikuwa off guard.

3. Niles na Bellerin wanawakaba Mane na Mo Salah respectively ambao mechi ya juzi walikuwa wanadrop na kuingia ndani kwenye midfield na full backs wetu wanapowafata kuwakaba automatically huacha space kwa Arnold na Robertson ku overlap na kupiga cross au kufunga ikibidi.

4. Liver walifanya high press na ukiangalia utaona back four yao ilikuwa almost kwenye half ground wakiwa hawana mpira na VVD ndiye alikuwa mwiba kwenye kupiga pass ndefu kwa Mo, Mane au full backs zao zinapopanda. Alipiga 5 successfull long balls.

Kwa ile press yao kila tulipo fanikiwa kuibypass pressing yao tulifika golini kwao vema kabisa na Lacca akakosa 2 clear chances na tukawa na offsides 5.

Nini kifanyike leo?

1. Drop Willian aanze Pepe mwenye pace ya kumkabili Robertson.

2. Drop Lacca ili Auba acheze CF na Saka acheze kama LW kumkabili Arnold kwa kuwa ana uzoefu wa kufanya good marking akicheza full back left na uwepo wake utampa Xhaka freedom kwenye midfield.

Kutokana na pumzi ya Liver second half kwa kutegemea hali ya game tunaweza kuingiza Nketiah/Willian for Pepe, Ceballos for Xhaka na Auba for Lacca kwa kuwa Lacca ni mzuri kuliko Auba kwenye kusaidia kukaba.

Kwa hiyo line up (3-4-3):
Leno
Tierney Luiz Holding
Niles Xhaka Elneny Bellerin
Saka Auba Pepe

Subs:
Runar Alex
Gabriel
Cedric
Ceballos
Lacca
Nketiah
Willian

COY Gunners.
 
Jürgen Klopp:

"Without sounding like an Arsenal fan, I really love their squad and I love what they do at the moment."
 
Wakuu nilipata kuangalia Replay yote ya mechi yetu against Liver, kwa maoni yangu mambo machache ya kurekebisha ni haya:

1. Willian hakuwa/hana pace ya kucope na Robertson, muda mwingi alikuwa anachelewa kumkaba na ndio maana alileta madhara sana.

2. Auba pia anatakiwa kumkaba right full back (Arnold) lkn naye anaishia kati ya uwanja ili apokee counter tukigain possession, hivyo Xhaka humpokea hilo jukumu kwenye half yetu naye muda mwingi alikuwa off guard.

3. Niles na Bellerin wanawakaba Mane na Mo Salah respectively ambao mechi ya juzi walikuwa wanadrop na kuingia ndani kwenye midfield na full backs wetu wanapowafata kuwakaba automatically huacha space kwa Arnold na Robertson ku overlap na kupiga cross au kufunga ikibidi.

4. Liver walifanya high press na ukiangalia utaona back four yao ilikuwa almost kwenye half ground wakiwa hawana mpira na VVD ndiye alikuwa mwiba kwenye kupiga pass ndefu kwa Mo, Mane au full backs zao zinapopanda. Alipiga 5 successfull long balls.

Kwa ile press yao kila tulipo fanikiwa kuibypass pressing yao tulifika golini kwao vema kabisa na Lacca akakosa 2 clear chances na tukawa na offsides 5.

Nini kifanyike leo?

1. Drop Willian aanze Pepe mwenye pace ya kumkabili Robertson.

2. Drop Lacca ili Auba acheze CF na Saka acheze kama LW kumkabili Arnold kwa kuwa ana uzoefu wa kufanya good marking akicheza full back left na uwepo wake utampa Xhaka freedom kwenye midfield.

Kutokana na pumzi ya Liver second half kwa kutegemea hali ya game tunaweza kuingiza Nketiah/Willian for Pepe, Ceballos for Xhaka na Auba for Lacca kwa kuwa Lacca ni mzuri kuliko Auba kwenye kusaidia kukaba.

Kwa hiyo line up (3-4-3):
Leno
Tierney Luiz Holding
Niles Xhaka Elneny Bellerin
Saka Auba Pepe

Subs:
Runar Alex
Gabriel
Cedric
Ceballos
Lacca
Nketiah
Willian

COY Gunners.
Mkuu leo hawachezi hao uliowapanga

Runa, Gabriel,Kolasinac,Saliba, Willock, saka,Pepe na Nielson ndo watajaa humo

hata Liverpool wata rotate kwa sana tu leo

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu nilipata kuangalia Replay yote ya mechi yetu against Liver, kwa maoni yangu mambo machache ya kurekebisha ni haya:

1. Willian hakuwa/hana pace ya kucope na Robertson, muda mwingi alikuwa anachelewa kumkaba na ndio maana alileta madhara sana.

2. Auba pia anatakiwa kumkaba right full back (Arnold) lkn naye anaishia kati ya uwanja ili apokee counter tukigain possession, hivyo Xhaka humpokea hilo jukumu kwenye half yetu naye muda mwingi alikuwa off guard.

3. Niles na Bellerin wanawakaba Mane na Mo Salah respectively ambao mechi ya juzi walikuwa wanadrop na kuingia ndani kwenye midfield na full backs wetu wanapowafata kuwakaba automatically huacha space kwa Arnold na Robertson ku overlap na kupiga cross au kufunga ikibidi.

4. Liver walifanya high press na ukiangalia utaona back four yao ilikuwa almost kwenye half ground wakiwa hawana mpira na VVD ndiye alikuwa mwiba kwenye kupiga pass ndefu kwa Mo, Mane au full backs zao zinapopanda. Alipiga 5 successfull long balls.

Kwa ile press yao kila tulipo fanikiwa kuibypass pressing yao tulifika golini kwao vema kabisa na Lacca akakosa 2 clear chances na tukawa na offsides 5.

Nini kifanyike leo?

1. Drop Willian aanze Pepe mwenye pace ya kumkabili Robertson.

2. Drop Lacca ili Auba acheze CF na Saka acheze kama LW kumkabili Arnold kwa kuwa ana uzoefu wa kufanya good marking akicheza full back left na uwepo wake utampa Xhaka freedom kwenye midfield.

Kutokana na pumzi ya Liver second half kwa kutegemea hali ya game tunaweza kuingiza Nketiah/Willian for Pepe, Ceballos for Xhaka na Auba for Lacca kwa kuwa Lacca ni mzuri kuliko Auba kwenye kusaidia kukaba.

Kwa hiyo line up (3-4-3):
Leno
Tierney Luiz Holding
Niles Xhaka Elneny Bellerin
Saka Auba Pepe

Subs:
Runar Alex
Gabriel
Cedric
Ceballos
Lacca
Nketiah
Willian

COY Gunners.
Predicted LINE UP
IMG_20201001_125057.jpg


Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Predicted LINE UPView attachment 1586718

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app

Nadhani kwa maoni yangu, tukiweka kikosi hiki hatutapenya next stage. Sisi League Cup ni muhimu sana kuliko ilivyo kwa wenzetu, why?

Simply sisi tuna wachezaji wengi 'wachanga' wanaohitaji game time na wengi hatujawatoa kwa mkopo hivyo haya mashindano na FA Cup ni muhimu sana kuwapa game time ya kutosha.
 
Nadhani kwa maoni yangu, tukiweka kikosi hiki hatutapenya next stage. Sisi League Cup ni muhimu sana kuliko ilivyo kwa wenzetu, why?

Simply sisi tuna wachezaji wengi 'wachanga' wanaohitaji game time na wengi hatujawatoa kwa mkopo hivyo haya mashindano na FA Cup ni muhimu sana kuwapa game time ya kutosha.
Hilo Kombe Sio Muhimu

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
After #Torreira’s sale #Arsenal will make a new official bid to #OlympiqueLyon for Houssem #Aouar, who is always the first choice of coach #Arteta. #Gunners are confident to reach an agreement with Aulas. #transfers #AFC #OL
 
Back
Top Bottom