Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Katika shule moja iliyopo wilaya ya Magu, ambayo ni Sekondari ya kata watoto wanatakiwa kupeleka kilo kumi za mchele kila mmoja, hayo ni maelekezo waliyopewa watoto kutuambia wazazi.
Shule ina wanafunzi wastani wa 2000×10 = kg 20,000/= na pesa tsh.2000@ mwanafunzi ambazo ni tsh. 4,000,000/=
Huu mchele ni kama tani 20
Na pesa 4ml.
Je, nimaelekezo ya Serikali?
Kuna mchezo siku hizi unatumiwa na walimu na baadhi ya kamati za shule, wanaita baadhi ya wazazi halafu wanadai wazazi walikubaliana,
Naomba Waziri uje na tamko maana sisi elimu bure siku hizi siyo elimu bure kwa kutumia mbinu hizi.
Tunaomba tamko maana naona walimu wanataka kupiga mchele na pesa kwa kigezo cha kuongeza muda wa masomo shuleni.
Shule ina wanafunzi wastani wa 2000×10 = kg 20,000/= na pesa tsh.2000@ mwanafunzi ambazo ni tsh. 4,000,000/=
Huu mchele ni kama tani 20
Na pesa 4ml.
Je, nimaelekezo ya Serikali?
Kuna mchezo siku hizi unatumiwa na walimu na baadhi ya kamati za shule, wanaita baadhi ya wazazi halafu wanadai wazazi walikubaliana,
Naomba Waziri uje na tamko maana sisi elimu bure siku hizi siyo elimu bure kwa kutumia mbinu hizi.
Tunaomba tamko maana naona walimu wanataka kupiga mchele na pesa kwa kigezo cha kuongeza muda wa masomo shuleni.