Ukiwa mtumishi wa umma utaelewa ninachokisema. Wizara inapangiwa bajeti may be 700B lakini mwisho WA siku hadi mwaka unaisha wamepewa 400B. Hapo lazima mipango mingine ife.
Kuna mengi sana vijana hamyajui mnatakiwa mjifunze lakini nyinyi mnakuja kutoa lawama. Hao wenyewe ni waajiriwa tu. Swala...
Sasa hivi watu wakienda vituoni watakufa njaa Account zimefungwa taasisi zinafunga mahesabu. Hakutakuwa na Hela za kujikimu mtaanza kulalamika Tena serikali haitujali
Hapa ndio mjue kuchelewa Placement sio swala la Psrs Bali ni serikali. Sasa hivi hakuna placement sababu mwaka mpya wa fedha. Placement ni beyond Psrs boundaries. Psrs wanapanga ila lini waajiriwa wapya waanze kazi hawawezi amua.
Jamaa alisafiri kutoka Meatu hebu fikiria hiyo adhabu na bado kakutana na majanga hayo. Mimi nafikiri itungwe SHERIA ya kuwashtaki PSRS wanapofanya uzembe hii itasaidia kuondoa mambo ya kijinga
Vijana waliofanya practical interview ya eGA pale TIA, wanakwambia vichekesho tu computer zao mifumo mibovu zaidi ya nusu saa unaisubiri Ina reboot. Halafu server moja Kwa wote kwahiyo shida tupu. Ukimwita msimamizi ukimwambia tatizo anakwambia isubirie tu itakuwa Sawa huku muda wako unaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.