Recent content by leonk

  1. L

    Ripoti ya PAC yaibwa Bungeni mpaka ya CAG iliyoko Dar!

    Wamechoka na mipasho ya waongoza nchi wenu, nchi inazidi kudidimia, pesa ya Tz inazidi kuzama, mtu unabeba milion 10 kwenye Rambo then Mkenya anakupa chenji unaweka mfukoni na wala haituni, so bad! Anakurudishia vi-note 50 tu!
  2. L

    Vanessa Mdee

    Shikamoo dada Charty!
  3. L

    Masters degrees za Mzumbe University zinaua ubora wa elimu

    Labda mimi sielewi, nina mdogo wangu mmoja kamaliza degree ya uhasibu pale ifm ila hakuweza kupata uppersecond (alikuwa na lower seond) kanyimwa kufanya masters Mzumbe, ina maana kaonewa ama wamefuata taratibu? Iweje advn diploma apate nafas ya kufanya masters km haqualify? Acha wivu wa kitoto...
  4. L

    Hatimaye wana Jamiiforums tumekutana leo Serena Hotel 02/11/2014

    Ngoja na sie wa kanda ya ziwa tuandae ya kwetu!!!! Serena hotel zipo huku kwetu pia!!!
  5. L

    Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

    Kumbe ni ww mwenyewe ndo unaitaka, hata ukiomba kuwa mvumilivu maana inaweza chukua hata 3years ndo unakuja kuitwa!
  6. L

    Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

    Mbona dem mwenyewe mzee afadhali hata Jidy, kweli hii dunia ngumu sana!
  7. L

    Vigogo na Wanasiasa waliofaidika na Fedha za Ufisadi wa IPTL hawa Hapa

    Na huyo anaemwita afisa wala sio afisa bali ni commissioner wa customs and excise wa TRA, huyo Masamaki anaeshirikiana na Pinda kwny vibali vya Sukari kwa akina Zacharia, Tusubiri tutaona mengi!
  8. L

    Niko Mwanza kukupatia nyumba na magari.

    Nimekufurahia tu unavyoelezea!
  9. L

    Niko Mwanza kukupatia nyumba na magari.

    Mmmh we Ram ww!
  10. L

    Niko Mwanza kukupatia nyumba na magari.

    Mmmh ck hz nimeanza kuwa mwenyeji wa mwanza kila wkend np huko, nakutafuta mkuu
  11. L

    Watu wawili wachomwa moto Tabata

    Acha waendelee kuchomwa labda na wenzao wataacha, TZ inakoelekea kwa ujambazi sio imekuwa too much!
  12. L

    Facts about kissing

    Mmh! Mapigo ya moyo!
  13. L

    Natafuta mchumba wa kike msomi

    Huyo msichana unaemtaka wa kuanzia miaka 18 sidhan km unataka kumuoa, bado hajakomaa kiakili, ubahatike pengine
  14. L

    Mh. Mtanda afiwa

    Nadhani huyu jamaa ni mbunge, cjui wa huko kilwa sema mleta habari anafikiri kila mtu anamjua
Back
Top Bottom