Wamechoka na mipasho ya waongoza nchi wenu, nchi inazidi kudidimia, pesa ya Tz inazidi kuzama, mtu unabeba milion 10 kwenye Rambo then Mkenya anakupa chenji unaweka mfukoni na wala haituni, so bad! Anakurudishia vi-note 50 tu!
Labda mimi sielewi, nina mdogo wangu mmoja kamaliza degree ya uhasibu pale ifm ila hakuweza kupata uppersecond (alikuwa na lower seond) kanyimwa kufanya masters Mzumbe, ina maana kaonewa ama wamefuata taratibu? Iweje advn diploma apate nafas ya kufanya masters km haqualify? Acha wivu wa kitoto...
Na huyo anaemwita afisa wala sio afisa bali ni commissioner wa customs and excise wa TRA, huyo Masamaki anaeshirikiana na Pinda kwny vibali vya Sukari kwa akina Zacharia, Tusubiri tutaona mengi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.